Sura: ALLAIL 

Aya : 1

وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ

Naapa kwa usiku unapo funika!



Sura: ALLAIL 

Aya : 2

وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ

Na mchana unapo dhihiri!



Sura: ALLAIL 

Aya : 3

وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ

Na kwa Aliye umba dume na jike!



Sura: ALLAIL 

Aya : 4

إِنَّ سَعۡيَكُمۡ لَشَتَّىٰ

Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni tofauti



Sura: ALLAIL 

Aya : 5

فَأَمَّا مَنۡ أَعۡطَىٰ وَٱتَّقَىٰ

Ama mwenye kutoa na akamcha Allah



Sura: ALLAIL 

Aya : 6

وَصَدَّقَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ

Na akalisadikisha lilio jema,



Sura: ALLAIL 

Aya : 7

فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡيُسۡرَىٰ

Tutamsahilishia yawe mepesi



Sura: ALLAIL 

Aya : 8

وَأَمَّا مَنۢ بَخِلَ وَٱسۡتَغۡنَىٰ

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,



Sura: ALLAIL 

Aya : 9

وَكَذَّبَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ

Na akakanusha lilio jema,



Sura: ALLAIL 

Aya : 10

فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡعُسۡرَىٰ

Tutamsahilishia yawe mazito!



Sura: ALLAIL 

Aya : 11

وَمَا يُغۡنِي عَنۡهُ مَالُهُۥٓ إِذَا تَرَدَّىٰٓ

Na mali yake yatamfaa nini atakapo kuwa anadidimia?



Sura: ALLAIL 

Aya : 12

إِنَّ عَلَيۡنَا لَلۡهُدَىٰ

Hakika ni juu yetu kuonyesha uongofu



Sura: ALLAIL 

Aya : 13

وَإِنَّ لَنَا لَلۡأٓخِرَةَ وَٱلۡأُولَىٰ

Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia



Sura: ALLAIL 

Aya : 14

فَأَنذَرۡتُكُمۡ نَارٗا تَلَظَّىٰ

Basi nakuonyeni na Moto unao waka!



Sura: ALLAIL 

Aya : 15

لَا يَصۡلَىٰهَآ إِلَّا ٱلۡأَشۡقَى

Hatauingia ila mwovu kabisa!



Sura: ALLAIL 

Aya : 16

ٱلَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ

Anaye kadhibisha na kupa mgongo



Sura: ALLAIL 

Aya : 17

وَسَيُجَنَّبُهَا ٱلۡأَتۡقَى

Na mcha Mungu ataepushwa nao



Sura: ALLAIL 

Aya : 18

ٱلَّذِي يُؤۡتِي مَالَهُۥ يَتَزَكَّىٰ

Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa



Sura: ALLAIL 

Aya : 19

وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُۥ مِن نِّعۡمَةٖ تُجۡزَىٰٓ

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa



Sura: ALLAIL 

Aya : 20

إِلَّا ٱبۡتِغَآءَ وَجۡهِ رَبِّهِ ٱلۡأَعۡلَىٰ

Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa



Sura: ALLAIL 

Aya : 21

وَلَسَوۡفَ يَرۡضَىٰ

Naye atakuja ridhika!