Sura: AL-FIIL 

Aya : 1

أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ

Je, hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?



Sura: AL-FIIL 

Aya : 2

أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ

Je, hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?



Sura: AL-FIIL 

Aya : 3

وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi?



Sura: AL-FIIL 

Aya : 4

تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ

(Ndege) Wanaowatupia mawe ya Motoni?



Sura: AL-FIIL 

Aya : 5

فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ

(Mawe hayo) Yakawafanya kama majani yaliyoliwa (yaliyotafunwa)!