Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 31

أَخۡرَجَ مِنۡهَا مَآءَهَا وَمَرۡعَىٰهَا

Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 32

وَٱلۡجِبَالَ أَرۡسَىٰهَا

Na milima akaisimamisha,



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 33

مَتَٰعٗا لَّكُمۡ وَلِأَنۡعَٰمِكُمۡ

Ni manufaa kwenu na kwa wanyama wenu wa mifugo



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 34

فَإِذَا جَآءَتِ ٱلطَّآمَّةُ ٱلۡكُبۡرَىٰ

Basi itakapokuja hilo balaa kubwa kabisa



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 35

يَوۡمَ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا سَعَىٰ

Siku ambayo mtu atakumbuka aliyoyafanya, (aliyoyakimbilia kuyafanyia juhudi)



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 36

وَبُرِّزَتِ ٱلۡجَحِيمُ لِمَن يَرَىٰ

Na moto utakapodhihirishwa wazi kwa mwenye kuona



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 37

فَأَمَّا مَن طَغَىٰ

Basi yule aliyepindukia mipaka na kuasi



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 38

وَءَاثَرَ ٱلۡحَيَوٰةَ ٱلدُّنۡيَا

Na akapenda zaidi maisha ya dunia



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 39

فَإِنَّ ٱلۡجَحِيمَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ

Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 40

وَأَمَّا مَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ وَنَهَى ٱلنَّفۡسَ عَنِ ٱلۡهَوَىٰ

Ama yule anayeogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake, na akaikataza nafsi yake na na matamanio



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 41

فَإِنَّ ٱلۡجَنَّةَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ

Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 42

يَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلسَّاعَةِ أَيَّانَ مُرۡسَىٰهَا

Wanakuuliza kuhusu Kiyama lini kufika kwake?



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 43

فِيمَ أَنتَ مِن ذِكۡرَىٰهَآ

Una nini wewe hata ukitaje hicho kiyama?



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 44

إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَىٰهَآ

Kwa Mola wako ndio mwisho wake



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 45

إِنَّمَآ أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخۡشَىٰهَا

Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kukiogopa hicho kiyama



Sura: ANNAAZIAAT 

Aya : 46

كَأَنَّهُمۡ يَوۡمَ يَرَوۡنَهَا لَمۡ يَلۡبَثُوٓاْ إِلَّا عَشِيَّةً أَوۡ ضُحَىٰهَا

Siku watakapokiona, watakuwa kana kwamba hawakubaki (duniani) isipokuwa jioni moja au mchana wake