Sura: NUUH 

Aya : 20

لِّتَسۡلُكُواْ مِنۡهَا سُبُلٗا فِجَاجٗا

Ili mtembee humo katika njia zilizo pana



Sura: ALMURSALAAT 

Aya : 25

أَلَمۡ نَجۡعَلِ ٱلۡأَرۡضَ كِفَاتًا

Je, kwani Hatukufanya ardhi kuwa ni chombo cha kukusanya?



Sura: ALMURSALAAT 

Aya : 26

أَحۡيَآءٗ وَأَمۡوَٰتٗا

Walio hai na maiti (na waliokufa)?



Sura: ALMURSALAAT 

Aya : 27

وَجَعَلۡنَا فِيهَا رَوَٰسِيَ شَٰمِخَٰتٖ وَأَسۡقَيۡنَٰكُم مَّآءٗ فُرَاتٗا

Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tuna-kunywesheni maji matamu?



Sura: ANNABAI 

Aya : 6

أَلَمۡ نَجۡعَلِ ٱلۡأَرۡضَ مِهَٰدٗا

Je, kwani hatukuifanya ardhi (kama) tandiko?



Sura: ANNABAI 

Aya : 7

وَٱلۡجِبَالَ أَوۡتَادٗا

Na milima kuwa (kama) vigingi?



Sura: A’BASA

Aya : 26

ثُمَّ شَقَقۡنَا ٱلۡأَرۡضَ شَقّٗا

Kisha Tukaipasua ardhi mipasuko



Sura: A’BASA

Aya : 27

فَأَنۢبَتۡنَا فِيهَا حَبّٗا

Kisha tukaotesha humo nafaka mbali mbali



Sura: A’BASA

Aya : 28

وَعِنَبٗا وَقَضۡبٗا

Na mizabibu na mimea ya mboga (ikatwayo ikamea tena)



Sura: A’BASA

Aya : 29

وَزَيۡتُونٗا وَنَخۡلٗا

Na mizaituni na mitende



Sura: A’BASA

Aya : 30

وَحَدَآئِقَ غُلۡبٗا

Na mabustani yaliyositawi na kusongamana miti yake



Sura: A’BASA

Aya : 31

وَفَٰكِهَةٗ وَأَبّٗا

Na matunda na majani ya malisho ya wanyama



Sura: A’BASA

Aya : 32

مَّتَٰعٗا لَّكُمۡ وَلِأَنۡعَٰمِكُمۡ

Ni manufaa kwenu na kwa wanyama wenu wa mifugo



Sura:  AL-GHAASHIYAH 

Aya : 20

وَإِلَى ٱلۡأَرۡضِ كَيۡفَ سُطِحَتۡ

Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?