Sura: AL-SHAMS 

Aya : 1

وَٱلشَّمۡسِ وَضُحَىٰهَا

Naapa kwa jua na mwangaza wake!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 2

وَٱلۡقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا

Na kwa mwezi unapo lifuatia!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 3

وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا

Na kwa mchana unapo lidhihirisha!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 4

وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰهَا

Na kwa usiku unapo lifunika!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 5

وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا

Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 6

وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا طَحَىٰهَا

Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 7

وَنَفۡسٖ وَمَا سَوَّىٰهَا

Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 8

فَأَلۡهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقۡوَىٰهَا

Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 9

قَدۡ أَفۡلَحَ مَن زَكَّىٰهَا

Hakika amefanikiwa aliye itakasa,



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 10

وَقَدۡ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا

Na hakika amepata hasara aliye iviza (ichafua)



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 11

كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِطَغۡوَىٰهَآ

Kina Thamudi walikadhibisha kwasababu ya upotofu wao,



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 12

إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشۡقَىٰهَا

Alipo simama mwovu wao mkubwa



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 13

فَقَالَ لَهُمۡ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقۡيَٰهَا

Hapo Mtume wa Allah alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Allah, mwacheni anywe maji fungu lake



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 14

فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمۡدَمَ عَلَيۡهِمۡ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمۡ فَسَوَّىٰهَا

Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwahivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwasababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa



Sura: AL-SHAMS 

Aya : 15

وَلَا يَخَافُ عُقۡبَٰهَا

Wala Yeye haogopi matokeo yake