Sura: AL-QURAISH 

Aya : 1

لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ

Kwasababu ya kuzoea kwa Waqureshi



Sura: AL-QURAISH 

Aya : 2

إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ

Kuzoea kwao safari za Kusi na Kaskazi



Sura: AL-QURAISH 

Aya : 3

فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ

Kwasababu ya hayo, wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii (Tukufu ya Makka)



Sura: AL-QURAISH 

Aya : 4

ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ

Ambaye amewalisha wasipate njaa, na amewasalimisha wasipate hofu