Na (watakuwepo) watu wa kushotoni. Je, ni kina nani watu wa kushotoni?
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 10
وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلسَّـٰبِقُونَ
Na (watakuwepo) waliotangulia mbele, (basi) watakua mbele.[1]
1- - Hawa ni wale ambao walitangulia mbele katika mambo ya kheri duniani ndio watakuwa mbele katika vyeo vya akhera.
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 11
أُوْلَـٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ
Hao ndio watakao kurubishwa
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 12
فِي جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ
katika pepo zenye neema
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 13
ثُلَّةٞ مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ
Kundi kubwa katika wa mwanzo
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 14
وَقَلِيلٞ مِّنَ ٱلۡأٓخِرِينَ
Na wachache katika wa mwishoni.[1]
1- - Hawa walio karibishwa mbele ni kundi la wengi katika mataifa yalio tangulia na Manabii wao, na wachache katika Umma wa Muhammad rehma na amani ziwe juu yake ukilinganishwa na hao.
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 15
عَلَىٰ سُرُرٖ مَّوۡضُونَةٖ
watakua juu ya vitanda vilivyofumwa vizuri
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 16
مُّتَّكِـِٔينَ عَلَيۡهَا مُتَقَٰبِلِينَ
hali wakiwa wameviegemea huku wakitazamana
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 17
يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٞ مُّخَلَّدُونَ
Watazungukiwa na vijana wenye kudumu
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 18
بِأَكۡوَابٖ وَأَبَارِيقَ وَكَأۡسٖ مِّن مَّعِينٖ
Kwa bilauri na mabirika na vikombe vya mvinyo kutoka kwenye chemchemu
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 19
لَّا يُصَدَّعُونَ عَنۡهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawatapata maumivu ya kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawa-tatokwa na akili
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 20
وَفَٰكِهَةٖ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Na matunda watakayo pendelea wao
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 21
وَلَحۡمِ طَيۡرٖ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ
Na nyama za ndege katika wata-kazozitamani
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 22
وَحُورٌ عِينٞ
Na wanawake wenye macho makubwa yaliyo meupe sana na weusi sana
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 23
كَأَمۡثَٰلِ ٱللُّؤۡلُوِٕ ٱلۡمَكۡنُونِ
Kama mfano wa lulu zilizohi-fadhiwa
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 24
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Ikiwa ni malipo kwa ambayo walikuwa wanatenda (duniani)
خطا را ابلاغ کنید
کپی
تمام
خطا
مشاركت :
سوره:
AL-WAAQIA’H
آيه : 25
لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوٗا وَلَا تَأۡثِيمًا
Hawatasikia humo maneno ya upuuzi wala yanayopelekea kupata madhambi