سوره: AL-IKHLAAS 

آيه : 1

قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ

Sema: Yeye Allah ni wa pekee



سوره: AL-IKHLAAS 

آيه : 2

ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ

Allah ndiye tu Mkusudiwa (katika kuabudiwa, kutegemewa na kutatua shida za watu)



سوره: AL-IKHLAAS 

آيه : 3

لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ

Hakuzaa[1] na hakuzaliwa.[2]


1- - Kwa maana hiyo hana mtoto.


2- - Kwa maana hiyo hana baba wala mama.

---------------

------------------------------------------------------------

---------------

------------------------------------------------------------


سوره: AL-IKHLAAS 

آيه : 4

وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ

Na hakuna yeyote anaye fanana naye