Surah: ATTAARIQ 

Ayah : 12

وَٱلۡأَرۡضِ ذَاتِ ٱلصَّدۡعِ

Na kwa ardhi inayo pasuka!



Surah: ATTAARIQ 

Ayah : 13

إِنَّهُۥ لَقَوۡلٞ فَصۡلٞ

Hakika hii ni kauli ya kupambanua



Surah: ATTAARIQ 

Ayah : 14

وَمَا هُوَ بِٱلۡهَزۡلِ

Wala si mzaha



Surah: ATTAARIQ 

Ayah : 15

إِنَّهُمۡ يَكِيدُونَ كَيۡدٗا

Hakika wao wanapanga mpango



Surah: ATTAARIQ 

Ayah : 16

وَأَكِيدُ كَيۡدٗا

Na Mimi napanga mpango



Surah: ATTAARIQ 

Ayah : 17

فَمَهِّلِ ٱلۡكَٰفِرِينَ أَمۡهِلۡهُمۡ رُوَيۡدَۢا

Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole