Surah: ANNAAS

Ayah : 1

قُلۡ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa watu



Surah: ANNAAS

Ayah : 2

مَلِكِ ٱلنَّاسِ

Mfalme wa watu



Surah: ANNAAS

Ayah : 3

إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ

Muabudiwa wa haki wa watu (Mwenye haki ya kuabudiwa na watu)



Surah: ANNAAS

Ayah : 4

مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ

(Najilinda dhidi ya shari ya (shetani) mwenye kutia wasiwasi, mwenye kurejea nyuma



Surah: ANNAAS

Ayah : 5

ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ

Anayetia wasiwasi katika vifua vya watu



Surah: ANNAAS

Ayah : 6

مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ

(Shetani) Anayetokana na majini na watu