Surah: AL-KAUTHAR

Ayah : 1

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ

Hakika tumekupa Kauthar (kheri nyingi ikiwemo mto wa Peponi)



Surah: AL-KAUTHAR

Ayah : 2

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ

Basi Swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi



Surah: AL-KAUTHAR

Ayah : 3

إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ

Hakika anayekuchukia (wewe Muhammad) ndiye hasa aliyepungukiwa (na kheri zote)