Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 61

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 62

وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ

Na zaidi ya hizo mbili, ziko bustani mbili zingine



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 63

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 64

مُدۡهَآمَّتَانِ

Za rangi ya kijani iliyokoza



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 65

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 66

فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ

Mna humo chemchemu mbili zenye kububujika kwa nguvu mfululizo



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 67

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 68

فِيهِمَا فَٰكِهَةٞ وَنَخۡلٞ وَرُمَّانٞ

Mna humo matunda na mitende na makomamanga



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 69

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 70

فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٞ

Mna humo wanawake wema wazuri



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 71

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 72

حُورٞ مَّقۡصُورَٰتٞ فِي ٱلۡخِيَامِ

weupe wakiwa na macho mapana waliotawishwa kwenye mahema



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 73

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 74

لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ

hawajaguswa na Mtu kabla yao wala Jini



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 75

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 76

مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٖ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٖ

Wakiegemea kwenye matakia ya kijani na mazulia ya rangi mbalimbali ya hariri mazuri mno yasiyo na kifani



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 77

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Surah: ARRAHMAAN 

Ayah : 78

تَبَٰرَكَ ٱسۡمُ رَبِّكَ ذِي ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ

Limetukuka jina la Mola wako mwenye utukufu na ukarimu