Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 31

۞قَالَ فَمَا خَطۡبُكُمۡ أَيُّهَا ٱلۡمُرۡسَلُونَ

Akasema basi Lipi Jambo Lenu Enyi Mliotumwa



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 32

قَالُوٓاْ إِنَّآ أُرۡسِلۡنَآ إِلَىٰ قَوۡمٖ مُّجۡرِمِينَ

Wakasema, Sisi Tumetumwa Kwenda Kwa Watu Waovu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 33

لِنُرۡسِلَ عَلَيۡهِمۡ حِجَارَةٗ مِّن طِينٖ

Ili tuwatupie Juu Yao Mawe Yatokanayo Na Udongo



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 34

مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلۡمُسۡرِفِينَ

Yaliyo wekwa Alama kutoka Kwa Bwana Wako Kwa Waliyochupa Mipaka



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 35

فَأَخۡرَجۡنَا مَن كَانَ فِيهَا مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ

Kwahivyo Tutawaondoa Waliyomo Humo Miongoni Mwa Waumini



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 36

فَمَا وَجَدۡنَا فِيهَا غَيۡرَ بَيۡتٖ مِّنَ ٱلۡمُسۡلِمِينَ

Lakini Hatukukuta Humo Isipokua Nyumba Moja Miongoni Mwa Waislamu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 37

وَتَرَكۡنَا فِيهَآ ءَايَةٗ لِّلَّذِينَ يَخَافُونَ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَلِيمَ

Na Tukaacha Humo Ishara Kwa Wale Ambao wanaoiogopa Adhabu Iumizayo



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 38

وَفِي مُوسَىٰٓ إِذۡ أَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ فِرۡعَوۡنَ بِسُلۡطَٰنٖ مُّبِينٖ

Na katika khabari za mussa pale tulipompeleka kwa Firauni kwa hoja za wazi



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 39

فَتَوَلَّىٰ بِرُكۡنِهِۦ وَقَالَ سَٰحِرٌ أَوۡ مَجۡنُونٞ

Lakini akakengeunka na jeshi lake na akasema mchawi au mwendawazimu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 40

فَأَخَذۡنَٰهُ وَجُنُودَهُۥ فَنَبَذۡنَٰهُمۡ فِي ٱلۡيَمِّ وَهُوَ مُلِيمٞ

basi tukamchukua na jeshi lake tukawatupa baharini hali yakuwa yeye akilaumiwa



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 41

وَفِي عَادٍ إِذۡ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمُ ٱلرِّيحَ ٱلۡعَقِيمَ

Na katika khabari za Adi pale tulipowapelekea upepo wa kukata uzazi



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 42

مَا تَذَرُ مِن شَيۡءٍ أَتَتۡ عَلَيۡهِ إِلَّا جَعَلَتۡهُ كَٱلرَّمِيمِ

Haukuacha kitu chochote ulichokipitia ila hukigeuza kitu hicho kama jivu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 43

وَفِي ثَمُودَ إِذۡ قِيلَ لَهُمۡ تَمَتَّعُواْ حَتَّىٰ حِينٖ

Na katika khabari za Thamud pale walipoambiwa stareheni hadi muda ufike



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 44

فَعَتَوۡاْ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهِمۡ فَأَخَذَتۡهُمُ ٱلصَّـٰعِقَةُ وَهُمۡ يَنظُرُونَ

Wakaasi amri ya bwana wao, basi ikawachukua adhabu ya moto hali yakuwa wao wakiangalia



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 45

فَمَا ٱسۡتَطَٰعُواْ مِن قِيَامٖ وَمَا كَانُواْ مُنتَصِرِينَ

Basi hawakuweza kusimama na hawakua wao wenye kushinda



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 46

وَقَوۡمَ نُوحٖ مِّن قَبۡلُۖ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَوۡمٗا فَٰسِقِينَ

Na Watu wa Nuhu hapo mbele. hakika wao walikua watu mafasiqi



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 47

وَٱلسَّمَآءَ بَنَيۡنَٰهَا بِأَيۡيْدٖ وَإِنَّا لَمُوسِعُونَ

Na mbingu tumeijenga kwa mikono na sisi ni wenye kuweza kuzitanua



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 48

وَٱلۡأَرۡضَ فَرَشۡنَٰهَا فَنِعۡمَ ٱلۡمَٰهِدُونَ

Na ardhi tumeitandika basi ni watengenezaji wazuri namna gani sisi!



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 49

وَمِن كُلِّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَا زَوۡجَيۡنِ لَعَلَّكُمۡ تَذَكَّرُونَ

Na kwa kila kitu tumekiumba kwa jozi (pea mbili) ili nyinyi mkumbuke



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 50

فَفِرُّوٓاْ إِلَى ٱللَّهِۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٞ مُّبِينٞ

Basi kimbilieni kwa Allah hakika mimi kwenu ni muonyaji wa wazi



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 51

وَلَا تَجۡعَلُواْ مَعَ ٱللَّهِ إِلَٰهًا ءَاخَرَۖ إِنِّي لَكُم مِّنۡهُ نَذِيرٞ مُّبِينٞ

Na msifanye kinyume cha Allah mungu mwingine mimi kwenu ni muonyaji mbainishaji kutoka kwake



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 52

كَذَٰلِكَ مَآ أَتَى ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُواْ سَاحِرٌ أَوۡ مَجۡنُونٌ

Na kama hivyo hakuwajia kwa ambao waliyokuwa kabla yao Mtume yeyote ila walisema mchawi au mwendawazimu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 53

أَتَوَاصَوۡاْ بِهِۦۚ بَلۡ هُمۡ قَوۡمٞ طَاغُونَ

Hivi wameusiana hilo? bali wao ni watu wapotevu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 54

فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ فَمَآ أَنتَ بِمَلُومٖ

Basi waachilie mbali hao, na si wewe kuwa ni mwenye kulaumiwa



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 55

وَذَكِّرۡ فَإِنَّ ٱلذِّكۡرَىٰ تَنفَعُ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ

Na kumbusha hakika ukumbusho unawanufaisha waumini



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 56

وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِيَعۡبُدُونِ

Na sikuwaumba majini na wanadamu ila kwa ajili ya kuniabudu



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 57

مَآ أُرِيدُ مِنۡهُم مِّن رِّزۡقٖ وَمَآ أُرِيدُ أَن يُطۡعِمُونِ

Na sihitaji toka kwao rizki na wala sihitaji kunilisha



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 58

إِنَّ ٱللَّهَ هُوَ ٱلرَّزَّاقُ ذُو ٱلۡقُوَّةِ ٱلۡمَتِينُ

Hakika Allah ndiye yeye mtoa riziki mwenye nguvu kubwa



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 59

فَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُواْ ذَنُوبٗا مِّثۡلَ ذَنُوبِ أَصۡحَٰبِهِمۡ فَلَا يَسۡتَعۡجِلُونِ

Na hakika kwa wale ambao wamedhulumu wao wana adhabu mfano wa adhabu ya wenzao, basi wasiharakishe



Surah: ADH-DHAARIYAAT 

Ayah : 60

فَوَيۡلٞ لِّلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن يَوۡمِهِمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ

Basi adhabu kali kwa wale ambao wamekufuru katika siku yao ambayo wanayo ahidiwa