لِّتَسۡلُكُواْ مِنۡهَا سُبُلٗا فِجَاجٗا
Ili mtembee humo katika njia zilizo pana
Share :
أَلَمۡ نَجۡعَلِ ٱلۡأَرۡضَ كِفَاتًا
Je, kwani Hatukufanya ardhi kuwa ni chombo cha kukusanya?
أَحۡيَآءٗ وَأَمۡوَٰتٗا
Walio hai na maiti (na waliokufa)?
وَجَعَلۡنَا فِيهَا رَوَٰسِيَ شَٰمِخَٰتٖ وَأَسۡقَيۡنَٰكُم مَّآءٗ فُرَاتٗا
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tuna-kunywesheni maji matamu?
أَلَمۡ نَجۡعَلِ ٱلۡأَرۡضَ مِهَٰدٗا
Je, kwani hatukuifanya ardhi (kama) tandiko?
وَٱلۡجِبَالَ أَوۡتَادٗا
Na milima kuwa (kama) vigingi?
ثُمَّ شَقَقۡنَا ٱلۡأَرۡضَ شَقّٗا
Kisha Tukaipasua ardhi mipasuko
فَأَنۢبَتۡنَا فِيهَا حَبّٗا
Kisha tukaotesha humo nafaka mbali mbali
وَعِنَبٗا وَقَضۡبٗا
Na mizabibu na mimea ya mboga (ikatwayo ikamea tena)
وَزَيۡتُونٗا وَنَخۡلٗا
Na mizaituni na mitende
وَحَدَآئِقَ غُلۡبٗا
Na mabustani yaliyositawi na kusongamana miti yake
وَفَٰكِهَةٗ وَأَبّٗا
Na matunda na majani ya malisho ya wanyama
مَّتَٰعٗا لَّكُمۡ وَلِأَنۡعَٰمِكُمۡ
Ni manufaa kwenu na kwa wanyama wenu wa mifugo
وَإِلَى ٱلۡأَرۡضِ كَيۡفَ سُطِحَتۡ
Na ardhi jinsi ilivyo tandazwa?