فَيَوۡمَئِذٖ وَقَعَتِ ٱلۡوَاقِعَةُ
Basi siku hiyo ndio litatokea tukio la kutokea
Share :
وَٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَهِيَ يَوۡمَئِذٖ وَاهِيَةٞ
Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa
وَٱلۡمَلَكُ عَلَىٰٓ أَرۡجَآئِهَاۚ وَيَحۡمِلُ عَرۡشَ رَبِّكَ فَوۡقَهُمۡ يَوۡمَئِذٖ ثَمَٰنِيَةٞ
Na Malaika Watakuwa Wame-simama Kandoni Mwake, Na Siku Hiyo Juu Yao Malaika Wanane Watakibeba Kiti Cha Enzi Cha Mola Wako
يَوۡمَئِذٖ تُعۡرَضُونَ لَا تَخۡفَىٰ مِنكُمۡ خَافِيَةٞ
Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika kwenu siri yoyote yenu
يَوۡمَ تَكُونُ ٱلسَّمَآءُ كَٱلۡمُهۡلِ
Siku ambayo mbingu zitakuwa kama shaba iliyo yeyushwa
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ
Na milima itakuwa kama sufi (iliyo chambuliwa)
وَلَا يَسۡـَٔلُ حَمِيمٌ حَمِيمٗا
Na rafiki hatomuuliza rafiki yake
فَإِذَا بَرِقَ ٱلۡبَصَرُ
Basi jicho litakapoduwaa (kwa kupatwa na bumbuwazi na fadhaa)
وَخَسَفَ ٱلۡقَمَرُ
Na mwezi utakapo patwa,
وَجُمِعَ ٱلشَّمۡسُ وَٱلۡقَمَرُ
Na vikakusanywa jua na mwezi ((Katika Kupatwa),
يَقُولُ ٱلۡإِنسَٰنُ يَوۡمَئِذٍ أَيۡنَ ٱلۡمَفَرُّ
Atasema Mwanadamu siku hiyo: Wapi pa kukimbilia?
كَلَّا لَا وَزَرَ
La! Hapana mahala pa kukimbilia!
إِلَىٰ رَبِّكَ يَوۡمَئِذٍ ٱلۡمُسۡتَقَرُّ
Kwa Mola wako siku hiyo ndio makazi ya (ya kutulia)
يُنَبَّؤُاْ ٱلۡإِنسَٰنُ يَوۡمَئِذِۭ بِمَا قَدَّمَ وَأَخَّرَ
Siku hiyo ataambiwa Mtu yale aliyo yatanguliza na aliyo yakawiza
بَلِ ٱلۡإِنسَٰنُ عَلَىٰ نَفۡسِهِۦ بَصِيرَةٞ
Bali Mtu anajijua Vizuri Sana yeye mwenyewe
وَلَوۡ أَلۡقَىٰ مَعَاذِيرَهُۥ
Ingawa atatoa nyudhuru chungu nzima
إِنَّ يَوۡمَ ٱلۡفَصۡلِ كَانَ مِيقَٰتٗا
Hakika siku ya uamuzi,[hukumu] imewekewa wakati wake
يَوۡمَ يُنفَخُ فِي ٱلصُّورِ فَتَأۡتُونَ أَفۡوَاجٗا
Siku litakapopulizwa baragumu, nanyi mtakuja makundi kwa makundi
وَفُتِحَتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتۡ أَبۡوَٰبٗا
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe kama milango
وَسُيِّرَتِ ٱلۡجِبَالُ فَكَانَتۡ سَرَابًا
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi, [mangati]
يَوۡمَ يَقُومُ ٱلرُّوحُ وَٱلۡمَلَـٰٓئِكَةُ صَفّٗاۖ لَّا يَتَكَلَّمُونَ إِلَّا مَنۡ أَذِنَ لَهُ ٱلرَّحۡمَٰنُ وَقَالَ صَوَابٗا
Siku atakayosimama Roho (Jibrili) na Malaika hali ya kujipanga safu; Hawatasema ila aliye mruhusu Mwingi wa rehema, na atasema yaliyo sawa tu
ذَٰلِكَ ٱلۡيَوۡمُ ٱلۡحَقُّۖ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ مَـَٔابًا
Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anayetaka na ashike njia arejee kwa Mola wake
إِنَّآ أَنذَرۡنَٰكُمۡ عَذَابٗا قَرِيبٗا يَوۡمَ يَنظُرُ ٱلۡمَرۡءُ مَا قَدَّمَتۡ يَدَاهُ وَيَقُولُ ٱلۡكَافِرُ يَٰلَيۡتَنِي كُنتُ تُرَٰبَۢا
Hakika Sisi Tumekuonyeni adhabu ya karibu, Siku mtu atakapotazama yale yaliyo tangulizwa na mikono yake; na kafiri atasema: Laiti ningelikuwa mchanga
فَإِذَا جَآءَتِ ٱلطَّآمَّةُ ٱلۡكُبۡرَىٰ
Basi itakapokuja hilo balaa kubwa kabisa
يَوۡمَ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ مَا سَعَىٰ
Siku ambayo mtu atakumbuka aliyoyafanya, (aliyoyakimbilia kuyafanyia juhudi)
وَبُرِّزَتِ ٱلۡجَحِيمُ لِمَن يَرَىٰ
Na moto utakapodhihirishwa wazi kwa mwenye kuona
فَأَمَّا مَن طَغَىٰ
Basi yule aliyepindukia mipaka na kuasi
وَءَاثَرَ ٱلۡحَيَوٰةَ ٱلدُّنۡيَا
Na akapenda zaidi maisha ya dunia
فَإِنَّ ٱلۡجَحِيمَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
وَأَمَّا مَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ وَنَهَى ٱلنَّفۡسَ عَنِ ٱلۡهَوَىٰ
Ama yule anayeogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake, na akaikataza nafsi yake na na matamanio