Surah: AL-FAJRI 

Ayah : 28

ٱرۡجِعِيٓ إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةٗ مَّرۡضِيَّةٗ

Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha



Surah: AL-FAJRI 

Ayah : 29

فَٱدۡخُلِي فِي عِبَٰدِي

Basi ingia miongoni mwa waja wangu,



Surah: AL-FAJRI 

Ayah : 30

وَٱدۡخُلِي جَنَّتِي

Na ingia katika Pepo yangu



Surah: AZZILZAAL 

Ayah : 7

فَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٍ خَيۡرٗا يَرَهُۥ

Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!



Surah: AZZILZAAL 

Ayah : 8

وَمَن يَعۡمَلۡ مِثۡقَالَ ذَرَّةٖ شَرّٗا يَرَهُۥ

Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!



Surah: AL-QAARIAH 

Ayah : 6

فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,



Surah: AL-QAARIAH 

Ayah : 7

فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza