Surah: AL-BAQARAH 

Ayah : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Surah: AL-IMRAN 

Ayah : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Surah: AL-AARAAF 

Ayah : 1

الٓمٓصٓ

Allah ndiye Mjuzi zaidi wa alichokikusudia katika herufi hizi



Surah: YUNUS 

Ayah : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡحَكِيمِ

Alif laam raa. Hizo ni Aya za kitabu chenye hekima nyingi



Surah: HUUD 

Ayah : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أُحۡكِمَتۡ ءَايَٰتُهُۥ ثُمَّ فُصِّلَتۡ مِن لَّدُنۡ حَكِيمٍ خَبِيرٍ

Alif, laam, raa (hizi ni herufi za mkato na Allah ndiye anayejua maana yake). Hiki ni kitabu (ambacho) zimetengenezwa vyema Aya zake kisha zimefafanuliwa kutoka kwa aliye na Hekima, Mwenye habari nyingi



Surah: YUSUF 

Ayah : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ

Alif Laam Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu kinachobainisha


1- - Allah ndiye ajuaye zaidi maana ya herufi mkato hizi.


Surah: AR-RA’D 

Ayah : 1

الٓمٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِۗ وَٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ ٱلۡحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَ ٱلنَّاسِ لَا يُؤۡمِنُونَ

Alif Laam Miim Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu. Na (hii Qur’an ni wahyi) ambayo umeteremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki lakini watu wengi hawaamini


1- - Allah pekee ndiye anayejua maana ya herufi hizi mkato.


Surah: IBRAHIM 

Ayah : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ

Alif Lam Raa[1]. Hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kwako ili kwacho uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa


1- - Allah ndiye ajuaye maana halisi ya herufi hizi.


Surah: AL-HIJRI 

Ayah : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ

Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu na Qur’ani inayobainisha



Surah: MARYAM 

Ayah : 1

كٓهيعٓصٓ

Kaaf Haa Yaa A’yn Swaad



Surah: TWAHA 

Ayah : 1

طه

Twaahaa!



Surah: ASH-SHUARAA 

Ayah : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Surah: ANNAMLI 

Ayah : 1

طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٖ مُّبِينٍ

Twaa Siin. Hizo ni Aya za Qur’ani na Kitabu kinacho bainisha



Surah: AL-QASWAS 

Ayah : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Surah: AL-ANKABUUT 

Ayah : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Surah: ARRUUM 

Ayah : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Surah: LUQMAAN 

Ayah : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Surah: ASSAJDAH 

Ayah : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Surah: YAASIIN 

Ayah : 1

يسٓ

Yaasiin



Surah: SWAAD 

Ayah : 1

صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ

Swaad. Nina apa kwa Qur’ani yenye mawaidha



Surah: GHAAFIR 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: FUSSWILAT 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: ASH-SHUURAA 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: ASH-SHUURAA 

Ayah : 2

عٓسٓقٓ

A’yn, Siin, Qaaf



Surah: AZZUKHRUF 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: ADDUKHAAN 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: AL-JAATHIYA 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: AL-AHQAAF 

Ayah : 1

حمٓ

Haamiim



Surah: QAAF 

Ayah : 1

قٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ٱلۡمَجِيدِ

Qaaf. Nina apa kwa Qur’ani Tukufu



Surah: AL-QALAM 

Ayah : 1

نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ

Nuun. Nina apa kwa kalamu na yale wayoyaandika