Surah: ALHAAQQA 

Ayah : 25

وَأَمَّا مَنۡ أُوتِيَ كِتَٰبَهُۥ بِشِمَالِهِۦ فَيَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي لَمۡ أُوتَ كِتَٰبِيَهۡ

Na ama yule atakayepewa kitabu chake kushotoni mwake; atasema: Ee! Laiti nisingelipewa kitabu changu!



Surah: ALHAAQQA 

Ayah : 26

وَلَمۡ أَدۡرِ مَا حِسَابِيَهۡ

Wala nisingeli jua nini hesabu yangu



Surah: ATTAK-WIIR 

Ayah : 8

وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ

Na mtoto wa kike aliyezikwa akiwa hai atakapoulizwa



Surah: ATTAK-WIIR 

Ayah : 9

بِأَيِّ ذَنۢبٖ قُتِلَتۡ

Ameuawa kosa gani?



Surah: AL-INSHIQAAQ 

Ayah : 7

فَأَمَّا مَنۡ أُوتِيَ كِتَٰبَهُۥ بِيَمِينِهِۦ

Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,



Surah: AL-INSHIQAAQ 

Ayah : 8

فَسَوۡفَ يُحَاسَبُ حِسَابٗا يَسِيرٗا

Basi huyo atahesabiwa hisabu nyepesi,



Surah:  AL-GHAASHIYAH 

Ayah : 26

ثُمَّ إِنَّ عَلَيۡنَا حِسَابَهُم

Kisha hakika ni juu yetu Sisi hesabu yao!



Surah: ATTAKAATHUR

Ayah : 8

ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ

Tena bila ya shaka yoyote mtaulizwa siku hiyo juu ya neema