وَأَمَّا مَنۡ أُوتِيَ كِتَٰبَهُۥ بِشِمَالِهِۦ فَيَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي لَمۡ أُوتَ كِتَٰبِيَهۡ
Na ama yule atakayepewa kitabu chake kushotoni mwake; atasema: Ee! Laiti nisingelipewa kitabu changu!
Share :
وَلَمۡ أَدۡرِ مَا حِسَابِيَهۡ
Wala nisingeli jua nini hesabu yangu
وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ
Na mtoto wa kike aliyezikwa akiwa hai atakapoulizwa
بِأَيِّ ذَنۢبٖ قُتِلَتۡ
Ameuawa kosa gani?
فَأَمَّا مَنۡ أُوتِيَ كِتَٰبَهُۥ بِيَمِينِهِۦ
Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
فَسَوۡفَ يُحَاسَبُ حِسَابٗا يَسِيرٗا
Basi huyo atahesabiwa hisabu nyepesi,
ثُمَّ إِنَّ عَلَيۡنَا حِسَابَهُم
Kisha hakika ni juu yetu Sisi hesabu yao!
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ
Tena bila ya shaka yoyote mtaulizwa siku hiyo juu ya neema