Surah: ANNABAI 

Ayah : 22

لِّلطَّـٰغِينَ مَـَٔابٗا

Kwa walioruka mipaka kwa kuasi ndio makaazi yao



Surah: AL-HUMAZAH 

Ayah : 5

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ

Na nani atakujuvya ni nini moto wa hutama?



Surah: AL-HUMAZAH 

Ayah : 6

نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa



Surah: AL-HUMAZAH 

Ayah : 7

ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ

Ambao unapanda nyoyoni



Surah: AL-HUMAZAH 

Ayah : 8

إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ

Hakika huo utafungiwa nao



Surah: AL-HUMAZAH 

Ayah : 9

فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ

Kwenye nguzo zilio nyooshwa