Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 4

كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ

la hasha! Atavurumishwa katika moto hutama



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 5

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ

Na nani atakujuvya ni nini moto wa hutama?



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 6

نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 7

ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ

Ambao unapanda nyoyoni



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 8

إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ

Hakika huo utafungiwa nao



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 9

فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ

Kwenye nguzo zilio nyooshwa



Capítulo: AL-FIIL 

Verso : 1

أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ

Je, hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?



Capítulo: AL-FIIL 

Verso : 2

أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ

Je, hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?



Capítulo: AL-FIIL 

Verso : 3

وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi?



Capítulo: AL-FIIL 

Verso : 4

تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ

(Ndege) Wanaowatupia mawe ya Motoni?



Capítulo: AL-FIIL 

Verso : 5

فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ

(Mawe hayo) Yakawafanya kama majani yaliyoliwa (yaliyotafunwa)!



Capítulo: AL-QURAISH 

Verso : 1

لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ

Kwasababu ya kuzoea kwa Waqureshi



Capítulo: AL-QURAISH 

Verso : 2

إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ

Kuzoea kwao safari za Kusi na Kaskazi



Capítulo: AL-QURAISH 

Verso : 3

فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ

Kwasababu ya hayo, wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii (Tukufu ya Makka)



Capítulo: AL-QURAISH 

Verso : 4

ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ

Ambaye amewalisha wasipate njaa, na amewasalimisha wasipate hofu



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 1

أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ

Je, umemuona anayekadhibisha (anayekataa) dini?



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 2

فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ

Basi huyo ni anayemsukuma (na kumtelekeza) yatima



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 3

وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ

Wala hahimizi kumlisha (kumpa chakula) maskini



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 4

فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ

Basi, ole wao wanaoswali



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 5

ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ

Ambao wanapuuza Swala zao



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 6

ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ

Ambao wanaonyesha (matendo yao kwa watu ili wasifiwe)



Capítulo: AL-MAAUUN 

Verso : 7

وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ

Na wanazuia msaada



Capítulo: AL-KAUTHAR

Verso : 1

إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ

Hakika tumekupa Kauthar (kheri nyingi ikiwemo mto wa Peponi)



Capítulo: AL-KAUTHAR

Verso : 2

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ

Basi Swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi



Capítulo: AL-KAUTHAR

Verso : 3

إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ

Hakika anayekuchukia (wewe Muhammad) ndiye hasa aliyepungukiwa (na kheri zote)



Capítulo: AL-KAAFIRUUN 

Verso : 1

قُلۡ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ

Sema: Enyi makafiri



Capítulo: AL-KAAFIRUUN 

Verso : 2

لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ

Siabudu mnacho kiabudu



Capítulo: AL-KAAFIRUUN 

Verso : 3

وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ

Na nyinyi hamuabudu ninaye muabudu



Capítulo: AL-KAAFIRUUN 

Verso : 4

وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ

Na mimi si mwenye kuviabudu mlivyo viabudu



Capítulo: AL-KAAFIRUUN 

Verso : 5

وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ

Na nyinyi si wenye kuabudu ninayemuabudu