Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 7

وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٞ

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!



Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 8

وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلۡخَيۡرِ لَشَدِيدٌ

Naye hakika bila ya shaka anapenda sana (kheri) mali!



Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 9

۞أَفَلَا يَعۡلَمُ إِذَا بُعۡثِرَ مَا فِي ٱلۡقُبُورِ

Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?



Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 10

وَحُصِّلَ مَا فِي ٱلصُّدُورِ

Na yakakusanywa yaliyomo vifuani?



Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 11

إِنَّ رَبَّهُم بِهِمۡ يَوۡمَئِذٖ لَّخَبِيرُۢ

Kwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 1

ٱلۡقَارِعَةُ

Inayo gonga!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 2

مَا ٱلۡقَارِعَةُ

Nini Inayo gonga?



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 3

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ

Na nini kitakacho kujuilisha nini Inayo gonga?



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 4

يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ

Siku ambayo watu watakuwa kama nondo (vipepeo) walio tawanyika;



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 5

وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 6

فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 7

فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 8

وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ

Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 9

فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ

Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 10

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ

Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 11

نَارٌ حَامِيَةُۢ

Ni Moto mkali!



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 1

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ

Kumekushughulisheni kutafuta wingi



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 2

حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ

Mpaka mje makaburini!



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 3

كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ

Sivyo hivyo! Mtakuja kujua!



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 4

ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ

Tena sivyo hivyo! Mtakuja kujua!



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 5

كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ

Sivyo hivyo! Lau mngelijua kujua kwa yakini,



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 6

لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ

Basi bila ya shaka yoyote mtaiona Jahanamu!



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 7

ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ

Tena, bila ya shaka yoyote, mtaiona kwa jicho la yakini



Capítulo: ATTAKAATHUR

Verso : 8

ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ

Tena bila ya shaka yoyote mtaulizwa siku hiyo juu ya neema



Capítulo: AL-ASWRI 

Verso : 1

وَٱلۡعَصۡرِ

Naapa kwa Zama!



Capítulo: AL-ASWRI 

Verso : 2

إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لَفِي خُسۡرٍ

Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,



Capítulo: AL-ASWRI 

Verso : 3

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّـٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡحَقِّ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ

Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 1

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ

Olewake kila safihi, msengenyaji!



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 2

ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ

Aliye kusanya mali na kuyahisabu



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 3

يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!