Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 61

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 62

وَمِن دُونِهِمَا جَنَّتَانِ

Na zaidi ya hizo mbili, ziko bustani mbili zingine



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 63

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 64

مُدۡهَآمَّتَانِ

Za rangi ya kijani iliyokoza



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 65

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 66

فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ

Mna humo chemchemu mbili zenye kububujika kwa nguvu mfululizo



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 67

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 68

فِيهِمَا فَٰكِهَةٞ وَنَخۡلٞ وَرُمَّانٞ

Mna humo matunda na mitende na makomamanga



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 69

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 70

فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٞ

Mna humo wanawake wema wazuri



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 71

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 72

حُورٞ مَّقۡصُورَٰتٞ فِي ٱلۡخِيَامِ

weupe wakiwa na macho mapana waliotawishwa kwenye mahema



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 73

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 74

لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ

hawajaguswa na Mtu kabla yao wala Jini



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 75

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 76

مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٖ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٖ

Wakiegemea kwenye matakia ya kijani na mazulia ya rangi mbalimbali ya hariri mazuri mno yasiyo na kifani



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 77

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Capítulo: ARRAHMAAN 

Verso : 78

تَبَٰرَكَ ٱسۡمُ رَبِّكَ ذِي ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ

Limetukuka jina la Mola wako mwenye utukufu na ukarimu



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 1

إِذَا وَقَعَتِ ٱلۡوَاقِعَةُ

Wakati kitakapotokea Kiyama



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 2

لَيۡسَ لِوَقۡعَتِهَا كَاذِبَةٌ

Hakuna mpingaji wa kutokea kwake



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 3

خَافِضَةٞ رَّافِعَةٌ

Ni chenye kuwashusha hadhi (makafiri) na kuwanyanyua hadhi (waumini)



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 4

إِذَا رُجَّتِ ٱلۡأَرۡضُ رَجّٗا

Wakati ardhi itakapotikiswa mtikiso mkubwa



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 5

وَبُسَّتِ ٱلۡجِبَالُ بَسّٗا

Na milima ikapondwa pondwa upondwaji mkubwa



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 6

فَكَانَتۡ هَبَآءٗ مُّنۢبَثّٗا

(Kwa sababu ya kupondwa pondwa huko, milima) ikawa vumbi lenye kutawanyika



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 7

وَكُنتُمۡ أَزۡوَٰجٗا ثَلَٰثَةٗ

Na nyinyi (watu) mtakuwa namna tatu



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 8

فَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ

Basi watakuwepo watu wa kuliani. Je, ni kina nani watu wa kuliani?



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 9

وَأَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ مَآ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ

Na (watakuwepo) watu wa kushotoni. Je, ni kina nani watu wa kushotoni?



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 10

وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلسَّـٰبِقُونَ

Na (watakuwepo) waliotangulia mbele, (basi) watakua mbele.[1]


1- - Hawa ni wale ambao walitangulia mbele katika mambo ya kheri duniani ndio watakuwa mbele katika vyeo vya akhera.


Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 11

أُوْلَـٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ

Hao ndio watakao kurubishwa



Capítulo: AL-WAAQIA’H 

Verso : 12

فِي جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ

katika pepo zenye neema