Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 1

ٱلۡقَارِعَةُ

Inayo gonga!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 2

مَا ٱلۡقَارِعَةُ

Nini Inayo gonga?



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 3

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ

Na nini kitakacho kujuilisha nini Inayo gonga?



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 4

يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ

Siku ambayo watu watakuwa kama nondo (vipepeo) walio tawanyika;



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 5

وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 6

فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 7

فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 8

وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ

Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 9

فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ

Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 10

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ

Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?



Capítulo: AL-QAARIAH 

Verso : 11

نَارٌ حَامِيَةُۢ

Ni Moto mkali!