Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 41
فَإِنَّ ٱلۡجَنَّةَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 42
يَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلسَّاعَةِ أَيَّانَ مُرۡسَىٰهَا
Wanakuuliza kuhusu Kiyama lini kufika kwake?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 43
فِيمَ أَنتَ مِن ذِكۡرَىٰهَآ
Una nini wewe hata ukitaje hicho kiyama?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 44
إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَىٰهَآ
Kwa Mola wako ndio mwisho wake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 45
إِنَّمَآ أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخۡشَىٰهَا
Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kukiogopa hicho kiyama
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 46
كَأَنَّهُمۡ يَوۡمَ يَرَوۡنَهَا لَمۡ يَلۡبَثُوٓاْ إِلَّا عَشِيَّةً أَوۡ ضُحَىٰهَا
Siku watakapokiona, watakuwa kana kwamba hawakubaki (duniani) isipokuwa jioni moja au mchana wake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 33
فَإِذَا جَآءَتِ ٱلصَّآخَّةُ
Basi utakapokuja ukelele mkali, (wenye kuumiza masikio)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 34
يَوۡمَ يَفِرُّ ٱلۡمَرۡءُ مِنۡ أَخِيهِ
Siku ambayo, Mtu atakapomkimbia ndugu yake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 35
وَأُمِّهِۦ وَأَبِيهِ
Na mama yake na baba yake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 36
وَصَٰحِبَتِهِۦ وَبَنِيهِ
Na mkewe na wanae
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 37
لِكُلِّ ٱمۡرِيٕٖ مِّنۡهُمۡ يَوۡمَئِذٖ شَأۡنٞ يُغۡنِيهِ
(Kwasababu) Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha yeye mwenyewe
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 38
وُجُوهٞ يَوۡمَئِذٖ مُّسۡفِرَةٞ
Siku hiyo ziko nyuso zitakazo nawiri
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 39
ضَاحِكَةٞ مُّسۡتَبۡشِرَةٞ
Zikicheka na kufurahika, (na zitachangamka)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 40
وَوُجُوهٞ يَوۡمَئِذٍ عَلَيۡهَا غَبَرَةٞ
Na ziko nyuso siku hiyo zitakuwa na vumbi juu yake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 41
تَرۡهَقُهَا قَتَرَةٌ
Zitafunikwa na giza zito
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
A’BASA
Verso : 42
أُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡكَفَرَةُ ٱلۡفَجَرَةُ
Hao ndio makafiri watenda maovu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-INFITWAAR
Verso : 17
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-INFITWAAR
Verso : 18
ثُمَّ مَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-INFITWAAR
Verso : 19
يَوۡمَ لَا تَمۡلِكُ نَفۡسٞ لِّنَفۡسٖ شَيۡـٔٗاۖ وَٱلۡأَمۡرُ يَوۡمَئِذٖ لِّلَّهِ
(Ni) Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 21
كَلَّآۖ إِذَا دُكَّتِ ٱلۡأَرۡضُ دَكّٗا دَكّٗا
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 22
وَجَآءَ رَبُّكَ وَٱلۡمَلَكُ صَفّٗا صَفّٗا
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 23
وَجِاْيٓءَ يَوۡمَئِذِۭ بِجَهَنَّمَۚ يَوۡمَئِذٖ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ وَأَنَّىٰ لَهُ ٱلذِّكۡرَىٰ
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 24
يَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي قَدَّمۡتُ لِحَيَاتِي
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia (mema) katika uhai wangu!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 25
فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُۥٓ أَحَدٞ
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote kama kuadhibu kwake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 26
وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُۥٓ أَحَدٞ
Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 27
يَـٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ
Ewe nafsi iliyo tua!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 28
ٱرۡجِعِيٓ إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةٗ مَّرۡضِيَّةٗ
Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 29
فَٱدۡخُلِي فِي عِبَٰدِي
Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 30
وَٱدۡخُلِي جَنَّتِي
Na ingia katika Pepo yangu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AZZILZAAL
Verso : 1
إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا
Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
-
-
Finalizado
Error
-