Capítulo: ALMA’RIJ 

Verso : 24

وَٱلَّذِينَ فِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقّٞ مَّعۡلُومٞ

Na wale ambao katika Mali zao kuna haki maalumu



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 20

وَتُحِبُّونَ ٱلۡمَالَ حُبّٗا جَمّٗا

Na mnapenda mali mapenzi ya kupita kiasi



Capítulo: AL-BALAD 

Verso : 6

يَقُولُ أَهۡلَكۡتُ مَالٗا لُّبَدًا

Anasema: Nimeteketeza mali chungu nzima



Capítulo: AL-BALAD 

Verso : 7

أَيَحۡسَبُ أَن لَّمۡ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ

Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?



Capítulo: ALLAIL 

Verso : 8

وَأَمَّا مَنۢ بَخِلَ وَٱسۡتَغۡنَىٰ

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,



Capítulo: ALLAIL 

Verso : 9

وَكَذَّبَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ

Na akakanusha lilio jema,



Capítulo: ALLAIL 

Verso : 10

فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡعُسۡرَىٰ

Tutamsahilishia yawe mazito!



Capítulo: ALLAIL 

Verso : 11

وَمَا يُغۡنِي عَنۡهُ مَالُهُۥٓ إِذَا تَرَدَّىٰٓ

Na mali yake yatamfaa nini atakapo kuwa anadidimia?



Capítulo: ALLAIL 

Verso : 18

ٱلَّذِي يُؤۡتِي مَالَهُۥ يَتَزَكَّىٰ

Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 2

ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ

Aliye kusanya mali na kuyahisabu



Capítulo: AL-HUMAZAH 

Verso : 3

يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!



Capítulo: AL-MASAD

Verso : 2

مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ

Haitamfaa mali yake na (vitendo) alivyovichuma (alivyovifanya)