Capítulo: AL-A’LAQ 

Verso : 7

أَن رَّءَاهُ ٱسۡتَغۡنَىٰٓ

Akijiona katajirika



Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 6

إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٞ

Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!



Capítulo: AL-AADIYAAT 

Verso : 7

وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٞ

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!