Capítulo: AL-BAQARAH 

Verso : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Capítulo: AL-IMRAN 

Verso : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Capítulo: AL-AARAAF 

Verso : 1

الٓمٓصٓ

Allah ndiye Mjuzi zaidi wa alichokikusudia katika herufi hizi



Capítulo: YUNUS 

Verso : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡحَكِيمِ

Alif laam raa. Hizo ni Aya za kitabu chenye hekima nyingi



Capítulo: HUUD 

Verso : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أُحۡكِمَتۡ ءَايَٰتُهُۥ ثُمَّ فُصِّلَتۡ مِن لَّدُنۡ حَكِيمٍ خَبِيرٍ

Alif, laam, raa (hizi ni herufi za mkato na Allah ndiye anayejua maana yake). Hiki ni kitabu (ambacho) zimetengenezwa vyema Aya zake kisha zimefafanuliwa kutoka kwa aliye na Hekima, Mwenye habari nyingi



Capítulo: YUSUF 

Verso : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ

Alif Laam Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu kinachobainisha


1- - Allah ndiye ajuaye zaidi maana ya herufi mkato hizi.


Capítulo: AR-RA’D 

Verso : 1

الٓمٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِۗ وَٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ ٱلۡحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَ ٱلنَّاسِ لَا يُؤۡمِنُونَ

Alif Laam Miim Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu. Na (hii Qur’an ni wahyi) ambayo umeteremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki lakini watu wengi hawaamini


1- - Allah pekee ndiye anayejua maana ya herufi hizi mkato.


Capítulo: IBRAHIM 

Verso : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ

Alif Lam Raa[1]. Hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kwako ili kwacho uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa


1- - Allah ndiye ajuaye maana halisi ya herufi hizi.


Capítulo: AL-HIJRI 

Verso : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ

Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu na Qur’ani inayobainisha



Capítulo: MARYAM 

Verso : 1

كٓهيعٓصٓ

Kaaf Haa Yaa A’yn Swaad



Capítulo: TWAHA 

Verso : 1

طه

Twaahaa!



Capítulo: ASH-SHUARAA 

Verso : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Capítulo: ANNAMLI 

Verso : 1

طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٖ مُّبِينٍ

Twaa Siin. Hizo ni Aya za Qur’ani na Kitabu kinacho bainisha



Capítulo: AL-QASWAS 

Verso : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Capítulo: AL-ANKABUUT 

Verso : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Capítulo: ARRUUM 

Verso : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Capítulo: LUQMAAN 

Verso : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Capítulo: ASSAJDAH 

Verso : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Capítulo: YAASIIN 

Verso : 1

يسٓ

Yaasiin



Capítulo: SWAAD 

Verso : 1

صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ

Swaad. Nina apa kwa Qur’ani yenye mawaidha



Capítulo: GHAAFIR 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: FUSSWILAT 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: ASH-SHUURAA 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: ASH-SHUURAA 

Verso : 2

عٓسٓقٓ

A’yn, Siin, Qaaf



Capítulo: AZZUKHRUF 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: ADDUKHAAN 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: AL-JAATHIYA 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: AL-AHQAAF 

Verso : 1

حمٓ

Haamiim



Capítulo: QAAF 

Verso : 1

قٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ٱلۡمَجِيدِ

Qaaf. Nina apa kwa Qur’ani Tukufu



Capítulo: AL-QALAM 

Verso : 1

نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ

Nuun. Nina apa kwa kalamu na yale wayoyaandika