نَارٌ حَامِيَةُۢ
Ni Moto mkali!
Compartir :
تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ
Imeangamia mikono ya Abulahab na yeye (kwa maana hiyo) ameangamia
مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Haitamfaa mali yake na (vitendo) alivyovichuma (alivyovifanya)
سَيَصۡلَىٰ نَارٗا ذَاتَ لَهَبٖ
Atauingia moto wenye muwako
وَٱمۡرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلۡحَطَبِ
(Ataingia Motoni yeye) Na mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni
فِي جِيدِهَا حَبۡلٞ مِّن مَّسَدِۭ
Shingoni mwake iko kamba ya kusokotwa