Hakika Mola wako anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za usiku, na nusu yake, na thuluthi yake. Na baadhi ya watu walio pamoja nawe kadhaalika. Na Allah ndiye anaye ukadiria usiku na mchana. Anajua kuwa hamuwezi kuweka hesabu, basi amekusameheni. Basi someni kilicho chepesi katika Qurani. Anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila za Allah, na wengine wanapigana katika Njia ya Allah. Kwa hivyo someni kilicho chepesi humo, na simamisheni Sala, na toeni Zaka, na mkopesheni Allah mkopo ulio mwema. Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Allah, nayo imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana. Na mtakeni msamaha Allah. Hakika Allah ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 1
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلۡمُدَّثِّرُ
Ewe mwenye kujigubika
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 2
قُمۡ فَأَنذِرۡ
Simama uonye
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 3
وَرَبَّكَ فَكَبِّرۡ
Na Mola wako Mlezi mtukuze
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 4
وَثِيَابَكَ فَطَهِّرۡ
Na nguo zako zisafishe
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 5
وَٱلرُّجۡزَ فَٱهۡجُرۡ
Na (mambo) machafu yahame (yaache)
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 6
وَلَا تَمۡنُن تَسۡتَكۡثِرُ
Wala usitoe (usifanye hisani) kwa kutaraji kuzidishiwa (kupata kingi Zaidi)
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 7
وَلِرَبِّكَ فَٱصۡبِرۡ
Na kwa ajili ya Mola wako tu kuwa na subira (kuwa mvumilivu)
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 8
فَإِذَا نُقِرَ فِي ٱلنَّاقُورِ
Basi litakapopulizwa baragumu (Tarumbeta)
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 9
فَذَٰلِكَ يَوۡمَئِذٖ يَوۡمٌ عَسِيرٌ
Basi siku hiyo itakuwa ni siku ngumu sana
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 10
عَلَى ٱلۡكَٰفِرِينَ غَيۡرُ يَسِيرٖ
Kwa makafiri haitakuwa nyepesi
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 11
ذَرۡنِي وَمَنۡ خَلَقۡتُ وَحِيدٗا
Niache Mimi peke yangu na yule niliye muumba
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 12
وَجَعَلۡتُ لَهُۥ مَالٗا مَّمۡدُودٗا
Na nikamjaalia awe na mali nyingi
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 13
وَبَنِينَ شُهُودٗا
Na watoto wanao onekana
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 14
وَمَهَّدتُّ لَهُۥ تَمۡهِيدٗا
Na nikamtengenezea mambo vizuri kabisa
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 15
ثُمَّ يَطۡمَعُ أَنۡ أَزِيدَ
Kisha anatumai Nimuongezee!
Signaler l'erreur
Copier
Terminé
Erreur
Partager :
Sourate:
ALMUDDATH-THIR
Verset : 16
كَلَّآۖ إِنَّهُۥ كَانَ لِأٓيَٰتِنَا عَنِيدٗا
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi (Na umpinzani) Aya zetu!