Sourate: QAAF 

Verset : 31

وَأُزۡلِفَتِ ٱلۡجَنَّةُ لِلۡمُتَّقِينَ غَيۡرَ بَعِيدٍ

Na Pepo italetwa karibu kwa kwaajili ya Wacha Mungu, haitakuwa mbali



Sourate: QAAF 

Verset : 32

هَٰذَا مَا تُوعَدُونَ لِكُلِّ أَوَّابٍ حَفِيظٖ

(Itasemwa): Haya ndiyo yale mliyoahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Allah, kwa kutubia, mwenye kuhifadhi vyema (amri za Allah)



Sourate: QAAF 

Verset : 33

مَّنۡ خَشِيَ ٱلرَّحۡمَٰنَ بِٱلۡغَيۡبِ وَجَآءَ بِقَلۡبٖ مُّنِيبٍ

Anayemuogopa Allah (Mwingi wa Rehema) hali yakuwa hamuoni akaja na moyo ulioelekea kwake



Sourate: QAAF 

Verset : 34

ٱدۡخُلُوهَا بِسَلَٰمٖۖ ذَٰلِكَ يَوۡمُ ٱلۡخُلُودِ

Ingieni kwa amani hiyo ndiyo siku ya kukaa milele



Sourate: QAAF 

Verset : 35

لَهُم مَّا يَشَآءُونَ فِيهَا وَلَدَيۡنَا مَزِيدٞ

Humo watakuwa na kila wanachokitaka na kwetu sisi kuna ziada. (ya kumuona Allah)



Sourate: QAAF 

Verset : 36

وَكَمۡ أَهۡلَكۡنَا قَبۡلَهُم مِّن قَرۡنٍ هُمۡ أَشَدُّ مِنۡهُم بَطۡشٗا فَنَقَّبُواْ فِي ٱلۡبِلَٰدِ هَلۡ مِن مَّحِيصٍ

Na Watu wa karne ngapi Tumewaaangamiza kabla yao ambao walikuwa wenye nguvu zaidi kuliko wao. Basi walitangatanga sana katika nchi nyingi. Je, kuna mahali popote pa kukimbilia?



Sourate: QAAF 

Verset : 37

إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَذِكۡرَىٰ لِمَن كَانَ لَهُۥ قَلۡبٌ أَوۡ أَلۡقَى ٱلسَّمۡعَ وَهُوَ شَهِيدٞ

Hakika katika hayo kuna ukumbusho kwa mtu mwenye moyo au ametega sikio nae yupo anashuhudia



Sourate: QAAF 

Verset : 38

وَلَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ وَمَا مَسَّنَا مِن لُّغُوبٖ

Na kwa yakini Tumeumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yake katika siku sita, na wala Hauku-tugusa uchovu wowote



Sourate: QAAF 

Verset : 39

فَٱصۡبِرۡ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ قَبۡلَ طُلُوعِ ٱلشَّمۡسِ وَقَبۡلَ ٱلۡغُرُوبِ

Basi vumilia kwa hayo wanayoyasema na mtakase Mola wako kwa kumhimidi kabla kuchomoza jua na kabla ya kuchwa



Sourate: QAAF 

Verset : 40

وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَسَبِّحۡهُ وَأَدۡبَٰرَ ٱلسُّجُودِ

Na katika majira ya usiku pia mtakase yeye na baada ya kusujudu



Sourate: QAAF 

Verset : 41

وَٱسۡتَمِعۡ يَوۡمَ يُنَادِ ٱلۡمُنَادِ مِن مَّكَانٖ قَرِيبٖ

Na sikiliza kwa makini Siku atakayonadi mwenye kunadi kutoka mahali pa karibu



Sourate: QAAF 

Verset : 42

يَوۡمَ يَسۡمَعُونَ ٱلصَّيۡحَةَ بِٱلۡحَقِّۚ ذَٰلِكَ يَوۡمُ ٱلۡخُرُوجِ

Siku watakayosikia ukelele kwa haki. Hiyo ndio Siku ya kutoka (makaburini na kufufuka)



Sourate: QAAF 

Verset : 43

إِنَّا نَحۡنُ نُحۡيِۦ وَنُمِيتُ وَإِلَيۡنَا ٱلۡمَصِيرُ

Hakika sisi ndiyo tunaohuisha na tunafisha na kwetu sisi tu ndiyo marejeo



Sourate: QAAF 

Verset : 44

يَوۡمَ تَشَقَّقُ ٱلۡأَرۡضُ عَنۡهُمۡ سِرَاعٗاۚ ذَٰلِكَ حَشۡرٌ عَلَيۡنَا يَسِيرٞ

Siku itakayowapasukia ardhi (watoke) haraka haraka. Huo ndio mkusanyo, ni mwepesi kabisa kwetu



Sourate: QAAF 

Verset : 45

نَّحۡنُ أَعۡلَمُ بِمَا يَقُولُونَۖ وَمَآ أَنتَ عَلَيۡهِم بِجَبَّارٖۖ فَذَكِّرۡ بِٱلۡقُرۡءَانِ مَن يَخَافُ وَعِيدِ

Sisi tunayajua wanayoyasema na wewe hukuwa mwenye kuwatenza nguvu, basi wakumbushe kwa Qur’ani yeyote mwenye kuogopa onyo langu



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 1

وَٱلذَّـٰرِيَٰتِ ذَرۡوٗا

Ninaapa kwa upepo (mkali) unaopeperusha (kila kitu)



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 2

فَٱلۡحَٰمِلَٰتِ وِقۡرٗا

Kisha (ninaapa) wa vile vibebavyo uzito (ikiwa ni pamoja na mawingu yanayobeba maji ya mvua)



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 3

فَٱلۡجَٰرِيَٰتِ يُسۡرٗا

Kisha (ninaapa) kwa (majahazi na vyombo vingine vizito vya majini) yenye kutembea (juu ya maji) kwa wepesi



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 4

فَٱلۡمُقَسِّمَٰتِ أَمۡرًا

Kisha (ninaapa) kwa (Malaika) wanaogawa mambo (majukumu waliyopewa na Allah)



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 5

إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَصَادِقٞ

(Kwamba) Hakika ilivyo ni kwamba, mnachoahidiwa ni kweli kabisa



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 6

وَإِنَّ ٱلدِّينَ لَوَٰقِعٞ

Na Hakika, malipo (Siku ya Kiyama) kwa yakini kabisa yatakuwepo



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 7

وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلۡحُبُكِ

Nina apa kwa mbingu yenye njia



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 8

إِنَّكُمۡ لَفِي قَوۡلٖ مُّخۡتَلِفٖ

(Kwamba) Hakika, nyinyi mmo katika zinazotofautiana.[1]


1- - Mara mseme Muhammad ni muongo, mara mchawi n.k.


Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 9

يُؤۡفَكُ عَنۡهُ مَنۡ أُفِكَ

Huondolewa Humo Yule Anaye-ondolewa



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 10

قُتِلَ ٱلۡخَرَّـٰصُونَ

Wamelaaniwa Wakadhibishaji



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 11

ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي غَمۡرَةٖ سَاهُونَ

Wale Ambao Wamezama Katika Ujinga Hali Ya Kujisahau



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 12

يَسۡـَٔلُونَ أَيَّانَ يَوۡمُ ٱلدِّينِ

Wanauliza Ni Lini Hiyo Siku Ya Malipo



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 13

يَوۡمَ هُمۡ عَلَى ٱلنَّارِ يُفۡتَنُونَ

Siku Hiyo Wao Katika Moto Watachomwa



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 14

ذُوقُواْ فِتۡنَتَكُمۡ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تَسۡتَعۡجِلُونَ

Onjeni Adhabu Yenu Hii Ambayo Mlikua Kwayo Mnaiharakisha



Sourate: ADH-DHAARIYAAT 

Verset : 15

إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّـٰتٖ وَعُيُونٍ

Hakika Ya Wachamungu Watakua Ndani Ya Pepo Na Chemchem