Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 40

وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ

Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 41

إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي ظِلَٰلٖ وَعُيُونٖ

Hakika wacha Mungu watakuwa katika vivuli na chemchem



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 42

وَفَوَٰكِهَ مِمَّا يَشۡتَهُونَ

Na matunda katika yale wanayoyatamani



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 43

كُلُواْ وَٱشۡرَبُواْ هَنِيٓـَٔۢا بِمَا كُنتُمۡ تَعۡمَلُونَ

(Wataabiwa): Kuleni na kunyweni kwa furaha kwasababu ya yale mliyokuwa mkiyatenda



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 44

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ

Hakika sisi ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 45

وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ

Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 46

كُلُواْ وَتَمَتَّعُواْ قَلِيلًا إِنَّكُم مُّجۡرِمُونَ

Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 47

وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ

Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 48

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ ٱرۡكَعُواْ لَا يَرۡكَعُونَ

Na walipokuwa wakiambiwa Rukuuni (mswali), hawakuwa wakirukuu



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 49

وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ

Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 50

فَبِأَيِّ حَدِيثِۭ بَعۡدَهُۥ يُؤۡمِنُونَ

Basi maneno gani baada ya hii (Qurani) watayaamini?