Sourate: AL-QURAISH 

Verset : 1

لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ

Kwasababu ya kuzoea kwa Waqureshi



Sourate: AL-QURAISH 

Verset : 2

إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ

Kuzoea kwao safari za Kusi na Kaskazi



Sourate: AL-QURAISH 

Verset : 3

فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ

Kwasababu ya hayo, wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii (Tukufu ya Makka)



Sourate: AL-QURAISH 

Verset : 4

ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ

Ambaye amewalisha wasipate njaa, na amewasalimisha wasipate hofu