مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa watu
Partager :
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Muabudiwa wa haki wa watu (Mwenye haki ya kuabudiwa na watu)
مِن شَرِّ ٱلۡوَسۡوَاسِ ٱلۡخَنَّاسِ
(Najilinda dhidi ya shari ya (shetani) mwenye kutia wasiwasi, mwenye kurejea nyuma
ٱلَّذِي يُوَسۡوِسُ فِي صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Anayetia wasiwasi katika vifua vya watu
مِنَ ٱلۡجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
(Shetani) Anayetokana na majini na watu