Sourate: AL-AN’AAM 

Verset : 85

وَزَكَرِيَّا وَيَحۡيَىٰ وَعِيسَىٰ وَإِلۡيَاسَۖ كُلّٞ مِّنَ ٱلصَّـٰلِحِينَ

Na Zakaria na Yahaya na Issa na Iliasa. Wote ni miongoni mwa watu wema



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 123

وَإِنَّ إِلۡيَاسَ لَمِنَ ٱلۡمُرۡسَلِينَ

Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 124

إِذۡ قَالَ لِقَوۡمِهِۦٓ أَلَا تَتَّقُونَ

Alipo waambia watu wake: Hamuogopi?



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 125

أَتَدۡعُونَ بَعۡلٗا وَتَذَرُونَ أَحۡسَنَ ٱلۡخَٰلِقِينَ

Mnamwomba Baali na mnamwacha Mbora wa waumbaji,



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 126

ٱللَّهَ رَبَّكُمۡ وَرَبَّ ءَابَآئِكُمُ ٱلۡأَوَّلِينَ

Allah, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 127

فَكَذَّبُوهُ فَإِنَّهُمۡ لَمُحۡضَرُونَ

Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 128

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ

Isipo kuwa waja wa Allah walio safishwa



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 129

وَتَرَكۡنَا عَلَيۡهِ فِي ٱلۡأٓخِرِينَ

Na tumemwachia (sifa nzuri) kwa walio kuja baadaye



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 130

سَلَٰمٌ عَلَىٰٓ إِلۡ يَاسِينَ

Iwe salama kwa Ilyas



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 131

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ

Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema



Sourate: ASSWAAFFAAT 

Verset : 132

إِنَّهُۥ مِنۡ عِبَادِنَا ٱلۡمُؤۡمِنِينَ

Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini