Sourate: AL-QAMAR

Verset : 55

فِي مَقۡعَدِ صِدۡقٍ عِندَ مَلِيكٖ مُّقۡتَدِرِۭ

Katika kizazi kilichoridhiwa mbele ya Mfalme aliye Muweza



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 46

وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ

Na kwa mwenye kukhofu kusi-mamishwa mbele ya Mola wake atapata bustani mbili



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 10

وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلسَّـٰبِقُونَ

Na (watakuwepo) waliotangulia mbele, (basi) watakua mbele.[1]


1- - Hawa ni wale ambao walitangulia mbele katika mambo ya kheri duniani ndio watakuwa mbele katika vyeo vya akhera.


Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 11

أُوْلَـٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ

Hao ndio watakao kurubishwa



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 12

فِي جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ

katika pepo zenye neema



Sourate: AL-QALAM 

Verset : 34

إِنَّ لِلۡمُتَّقِينَ عِندَ رَبِّهِمۡ جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ

Hakika wachamungu watapata Kwa Mola wao Bustani za neema



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 23

ٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ دَآئِمُونَ

Ambao wenye kudumisha Sala zao



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 24

وَٱلَّذِينَ فِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقّٞ مَّعۡلُومٞ

Na wale ambao katika Mali zao kuna haki maalumu



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 25

لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ

Kwa (Masikini) mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 26

وَٱلَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ

Na ambao wanasadikisha Siku ya Malipo, (siku ya Kiyama)



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 27

وَٱلَّذِينَ هُم مِّنۡ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشۡفِقُونَ

Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 28

إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمۡ غَيۡرُ مَأۡمُونٖ

Hakika adhabu ya Mola wao si ya kusalimika nayo



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 29

وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِفُرُوجِهِمۡ حَٰفِظُونَ

Na ambao wanahifadhi tupu zao



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 30

إِلَّا عَلَىٰٓ أَزۡوَٰجِهِمۡ أَوۡ مَا مَلَكَتۡ أَيۡمَٰنُهُمۡ فَإِنَّهُمۡ غَيۡرُ مَلُومِينَ

Isipokuwa kwa wake zao, au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao si wenye kulaumiwa



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 31

فَمَنِ ٱبۡتَغَىٰ وَرَآءَ ذَٰلِكَ فَأُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡعَادُونَ

Basi yeyote yule atakayetaka kinyume ya hayo, basi hao ndio warukao mipaka



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 32

وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ

Na ambao amana zao na ahadi zao ni wenye kuzichunga (na kuzitimiza)



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 33

وَٱلَّذِينَ هُم بِشَهَٰدَٰتِهِمۡ قَآئِمُونَ

Na ambao wanasimama imara katika kutoa ushahidi wao,



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 34

وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ يُحَافِظُونَ

Na ambao kwenye Sala zao ni wenye kuzilinda



Sourate: ALMA’RIJ 

Verset : 35

أُوْلَـٰٓئِكَ فِي جَنَّـٰتٖ مُّكۡرَمُونَ

Hao ndio watakao heshimiwa Peponi



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 41

إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي ظِلَٰلٖ وَعُيُونٖ

Hakika wacha Mungu watakuwa katika vivuli na chemchem



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 42

وَفَوَٰكِهَ مِمَّا يَشۡتَهُونَ

Na matunda katika yale wanayoyatamani



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 43

كُلُواْ وَٱشۡرَبُواْ هَنِيٓـَٔۢا بِمَا كُنتُمۡ تَعۡمَلُونَ

(Wataabiwa): Kuleni na kunyweni kwa furaha kwasababu ya yale mliyokuwa mkiyatenda



Sourate: ALMURSALAAT 

Verset : 44

إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ

Hakika sisi ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema



Sourate: ANNAAZIAAT 

Verset : 40

وَأَمَّا مَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ وَنَهَى ٱلنَّفۡسَ عَنِ ٱلۡهَوَىٰ

Ama yule anayeogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake, na akaikataza nafsi yake na na matamanio



Sourate: ANNAAZIAAT 

Verset : 41

فَإِنَّ ٱلۡجَنَّةَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ

Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!



Sourate: AL-MUTWAFFIFIIN 

Verset : 22

إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٍ

Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema



Sourate: AL-MUTWAFFIFIIN 

Verset : 23

عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ

Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia



Sourate: AL-MUTWAFFIFIIN 

Verset : 24

تَعۡرِفُ فِي وُجُوهِهِمۡ نَضۡرَةَ ٱلنَّعِيمِ

Utatambua katika nyuso zao mng’aro wa neema,



Sourate: AL-BURUJI 

Verset : 11

إِنَّ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّـٰلِحَٰتِ لَهُمۡ جَنَّـٰتٞ تَجۡرِي مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَٰرُۚ ذَٰلِكَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡكَبِيرُ

Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko kufuzu kukubwa



Sourate: AL-FAJRI 

Verset : 27

يَـٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ

Ewe nafsi iliyo tua!