Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 63

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 64

مُدۡهَآمَّتَانِ

Za rangi ya kijani iliyokoza



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 65

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 66

فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ

Mna humo chemchemu mbili zenye kububujika kwa nguvu mfululizo



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 67

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 68

فِيهِمَا فَٰكِهَةٞ وَنَخۡلٞ وَرُمَّانٞ

Mna humo matunda na mitende na makomamanga



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 69

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 70

فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٞ

Mna humo wanawake wema wazuri



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 71

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 72

حُورٞ مَّقۡصُورَٰتٞ فِي ٱلۡخِيَامِ

weupe wakiwa na macho mapana waliotawishwa kwenye mahema



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 73

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 74

لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ

hawajaguswa na Mtu kabla yao wala Jini



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 75

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 76

مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٖ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٖ

Wakiegemea kwenye matakia ya kijani na mazulia ya rangi mbalimbali ya hariri mazuri mno yasiyo na kifani



Sourate: ARRAHMAAN 

Verset : 77

فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 15

عَلَىٰ سُرُرٖ مَّوۡضُونَةٖ

watakua juu ya vitanda vilivyofumwa vizuri



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 16

مُّتَّكِـِٔينَ عَلَيۡهَا مُتَقَٰبِلِينَ

hali wakiwa wameviegemea huku wakitazamana



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 17

يَطُوفُ عَلَيۡهِمۡ وِلۡدَٰنٞ مُّخَلَّدُونَ

Watazungukiwa na vijana wenye kudumu



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 18

بِأَكۡوَابٖ وَأَبَارِيقَ وَكَأۡسٖ مِّن مَّعِينٖ

Kwa bilauri na mabirika na vikombe vya mvinyo kutoka kwenye chemchemu



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 19

لَّا يُصَدَّعُونَ عَنۡهَا وَلَا يُنزِفُونَ

Hawatapata maumivu ya kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawa-tatokwa na akili



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 20

وَفَٰكِهَةٖ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ

Na matunda watakayo pendelea wao



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 21

وَلَحۡمِ طَيۡرٖ مِّمَّا يَشۡتَهُونَ

Na nyama za ndege katika wata-kazozitamani



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 22

وَحُورٌ عِينٞ

Na wanawake wenye macho makubwa yaliyo meupe sana na weusi sana



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 23

كَأَمۡثَٰلِ ٱللُّؤۡلُوِٕ ٱلۡمَكۡنُونِ

Kama mfano wa lulu zilizohi-fadhiwa



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 24

جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ

Ikiwa ni malipo kwa ambayo walikuwa wanatenda (duniani)



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 25

لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوٗا وَلَا تَأۡثِيمًا

Hawatasikia humo maneno ya upuuzi wala yanayopelekea kupata madhambi



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 26

إِلَّا قِيلٗا سَلَٰمٗا سَلَٰمٗا

Isipokuwa itasemwa: Salama, na Amani!



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 28

فِي سِدۡرٖ مَّخۡضُودٖ

Watakuwa kwenye mikunazi isiyo na miba



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 29

وَطَلۡحٖ مَّنضُودٖ

Na migomba iliyopangiliwa



Sourate: AL-WAAQIA’H 

Verset : 30

وَظِلّٖ مَّمۡدُودٖ

Na kivuli kilichotandazwa