Sourate: AL-BAQARAH 

Verset : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Sourate: AL-IMRAN 

Verset : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


Sourate: AL-AARAAF 

Verset : 1

الٓمٓصٓ

Allah ndiye Mjuzi zaidi wa alichokikusudia katika herufi hizi



Sourate: YUNUS 

Verset : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡحَكِيمِ

Alif laam raa. Hizo ni Aya za kitabu chenye hekima nyingi



Sourate: HUUD 

Verset : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أُحۡكِمَتۡ ءَايَٰتُهُۥ ثُمَّ فُصِّلَتۡ مِن لَّدُنۡ حَكِيمٍ خَبِيرٍ

Alif, laam, raa (hizi ni herufi za mkato na Allah ndiye anayejua maana yake). Hiki ni kitabu (ambacho) zimetengenezwa vyema Aya zake kisha zimefafanuliwa kutoka kwa aliye na Hekima, Mwenye habari nyingi



Sourate: YUSUF 

Verset : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ

Alif Laam Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu kinachobainisha


1- - Allah ndiye ajuaye zaidi maana ya herufi mkato hizi.


Sourate: AR-RA’D 

Verset : 1

الٓمٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِۗ وَٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ ٱلۡحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَ ٱلنَّاسِ لَا يُؤۡمِنُونَ

Alif Laam Miim Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu. Na (hii Qur’an ni wahyi) ambayo umeteremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki lakini watu wengi hawaamini


1- - Allah pekee ndiye anayejua maana ya herufi hizi mkato.


Sourate: IBRAHIM 

Verset : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ

Alif Lam Raa[1]. Hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kwako ili kwacho uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa


1- - Allah ndiye ajuaye maana halisi ya herufi hizi.


Sourate: AL-HIJRI 

Verset : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ

Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu na Qur’ani inayobainisha



Sourate: MARYAM 

Verset : 1

كٓهيعٓصٓ

Kaaf Haa Yaa A’yn Swaad



Sourate: TWAHA 

Verset : 1

طه

Twaahaa!



Sourate: ASH-SHUARAA 

Verset : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Sourate: ANNAMLI 

Verset : 1

طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٖ مُّبِينٍ

Twaa Siin. Hizo ni Aya za Qur’ani na Kitabu kinacho bainisha



Sourate: AL-QASWAS 

Verset : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



Sourate: AL-ANKABUUT 

Verset : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sourate: ARRUUM 

Verset : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sourate: LUQMAAN 

Verset : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sourate: ASSAJDAH 

Verset : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



Sourate: YAASIIN 

Verset : 1

يسٓ

Yaasiin



Sourate: SWAAD 

Verset : 1

صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ

Swaad. Nina apa kwa Qur’ani yenye mawaidha



Sourate: GHAAFIR 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: FUSSWILAT 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: ASH-SHUURAA 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: ASH-SHUURAA 

Verset : 2

عٓسٓقٓ

A’yn, Siin, Qaaf



Sourate: AZZUKHRUF 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: ADDUKHAAN 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: AL-JAATHIYA 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: AL-AHQAAF 

Verset : 1

حمٓ

Haamiim



Sourate: QAAF 

Verset : 1

قٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ٱلۡمَجِيدِ

Qaaf. Nina apa kwa Qur’ani Tukufu



Sourate: AL-QALAM 

Verset : 1

نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ

Nuun. Nina apa kwa kalamu na yale wayoyaandika