-
الجزء 27
Yuz' 27
-
Cantidad de versos :
399
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 40
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٖ
Na Hakika Tumeirahisisha Qur’ani kwaajili ya Ukumbusho Je Kuna Mwenye kukumbuka.?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 41
وَلَقَدۡ جَآءَ ءَالَ فِرۡعَوۡنَ ٱلنُّذُرُ
Hakika yaliwajia watu wafiraun maonyo
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 42
كَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَا كُلِّهَا فَأَخَذۡنَٰهُمۡ أَخۡذَ عَزِيزٖ مُّقۡتَدِرٍ
Na kwa yakini watu wa Fir’awn walifikiwa na waonyaji
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 43
أَكُفَّارُكُمۡ خَيۡرٞ مِّنۡ أُوْلَـٰٓئِكُمۡ أَمۡ لَكُم بَرَآءَةٞ فِي ٱلزُّبُرِ
Je, makafiri wenu (enyi Maquraysh) ni bora kuliko hao (ummah) wa awali? Au mna msamaha katika Maandiko Tukufu?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 44
أَمۡ يَقُولُونَ نَحۡنُ جَمِيعٞ مُّنتَصِرٞ
Au wanasema: Sisi ni wengi (kundi) tutashinda tu.?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 45
سَيُهۡزَمُ ٱلۡجَمۡعُ وَيُوَلُّونَ ٱلدُّبُرَ
Litashindwa kundi hilo na watakimbia
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 46
بَلِ ٱلسَّاعَةُ مَوۡعِدُهُمۡ وَٱلسَّاعَةُ أَدۡهَىٰ وَأَمَرُّ
Bali Kiyama Ndio Ahadi Yao Na Adhabu Ya Kiyama Kubwa Na Chungu Zaidi
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 47
إِنَّ ٱلۡمُجۡرِمِينَ فِي ضَلَٰلٖ وَسُعُرٖ
Hakika wahalifu wamo katika upotofu na wazimu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 48
يَوۡمَ يُسۡحَبُونَ فِي ٱلنَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمۡ ذُوقُواْ مَسَّ سَقَرَ
Siku watakayoburutwa motoni kifudi fudi, Waambiwe: Onjeni mguso wa moto mkali mno
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 49
إِنَّا كُلَّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَٰهُ بِقَدَرٖ
Hakika sisi Tumekiumba kila kitu kwa Qadar (makadirio)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 50
وَمَآ أَمۡرُنَآ إِلَّا وَٰحِدَةٞ كَلَمۡحِۭ بِٱلۡبَصَرِ
Na amri Yetu haiwi ila ni moja tu, kama upepeso wa jicho
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 51
وَلَقَدۡ أَهۡلَكۡنَآ أَشۡيَاعَكُمۡ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٖ
Na kwa yakini Tumewaangamiza wenzenu, je, basi yuko yeyote mwenye kuwaidhika?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 52
وَكُلُّ شَيۡءٖ فَعَلُوهُ فِي ٱلزُّبُرِ
Na yote waliyoyafanya yamehi-fadhiwa kwenye vitabu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 53
وَكُلُّ صَغِيرٖ وَكَبِيرٖ مُّسۡتَطَرٌ
Na kila kidogo na kikubwa kime-andikwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 54
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّـٰتٖ وَنَهَرٖ
Hakika Waliomcha Allah watakua kwenye mabustani Na Mito
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 55
فِي مَقۡعَدِ صِدۡقٍ عِندَ مَلِيكٖ مُّقۡتَدِرِۭ
Katika kizazi kilichoridhiwa mbele ya Mfalme aliye Muweza
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 1
ٱلرَّحۡمَٰنُ
(Allah) Mwingi wa rehma
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 2
عَلَّمَ ٱلۡقُرۡءَانَ
Amefundisha Qur’ani
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 3
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ
Amemumba mwanadamu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 4
عَلَّمَهُ ٱلۡبَيَانَ
Amemfundisha kusema (yaliyomo moyoni)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 5
ٱلشَّمۡسُ وَٱلۡقَمَرُ بِحُسۡبَانٖ
Jua na mwezi (vinatembea) kwa hesabu (na mpangilio maalum)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 6
وَٱلنَّجۡمُ وَٱلشَّجَرُ يَسۡجُدَانِ
Na nyota na miti vinasujudu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 7
وَٱلسَّمَآءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ ٱلۡمِيزَانَ
Na mbingu ameinyanyua na ameweka mizani (kuthibitisha uadilifu na usawa)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 8
أَلَّا تَطۡغَوۡاْ فِي ٱلۡمِيزَانِ
(Ameweka mizani) Ili msifanye dhulma katika upimaji
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 9
وَأَقِيمُواْ ٱلۡوَزۡنَ بِٱلۡقِسۡطِ وَلَا تُخۡسِرُواْ ٱلۡمِيزَانَ
Na simamisheni mzani kwa uadilifu na msipunguze mizani
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 10
وَٱلۡأَرۡضَ وَضَعَهَا لِلۡأَنَامِ
Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 11
فِيهَا فَٰكِهَةٞ وَٱلنَّخۡلُ ذَاتُ ٱلۡأَكۡمَامِ
Humo mna matunda na mitende yenye makole
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 12
وَٱلۡحَبُّ ذُو ٱلۡعَصۡفِ وَٱلرَّيۡحَانُ
Na punje (nafaka ) zenye majani (makapi) na harufu nzuri
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 13
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni zipi neema za Mola wenu mnazikanusha?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 14
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٖ كَٱلۡفَخَّارِ
Amemuumba mwanadamu kutokana na udongo utowao sauti kama vyombo vya udongo vilivyochomwa
-
-
Finalizado
Error
-