Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 9

وَجَآءَ فِرۡعَوۡنُ وَمَن قَبۡلَهُۥ وَٱلۡمُؤۡتَفِكَٰتُ بِٱلۡخَاطِئَةِ

Na Firauni na wale waliokuwepo kabla yake na (watu wa) miji iliyopinduliwa (chini juu kwa sababu ya madhambi yao) walikuja kufanya makosa pia



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 10

فَعَصَوۡاْ رَسُولَ رَبِّهِمۡ فَأَخَذَهُمۡ أَخۡذَةٗ رَّابِيَةً

Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye (Allah) akawakamata (na kuwaadhibu) kwa mkamato wa nguvu sana



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 11

إِنَّا لَمَّا طَغَا ٱلۡمَآءُ حَمَلۡنَٰكُمۡ فِي ٱلۡجَارِيَةِ

Maji Yalipofurika Hakika Sisi Tuliwapandisheni Katika Merikebu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 12

لِنَجۡعَلَهَا لَكُمۡ تَذۡكِرَةٗ وَتَعِيَهَآ أُذُنٞ وَٰعِيَةٞ

Ili tuifanye kuwa ni ukumbusho kwenu, na ibakie kumbukumbu katika sikio linalobakisha kumbukumbu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 13

فَإِذَا نُفِخَ فِي ٱلصُّورِ نَفۡخَةٞ وَٰحِدَةٞ

Na litakapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 14

وَحُمِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ وَٱلۡجِبَالُ فَدُكَّتَا دَكَّةٗ وَٰحِدَةٗ

Na ardhi na majabali ikaondolewa kisha ika pondwa pondwa mpondo mmoja



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 15

فَيَوۡمَئِذٖ وَقَعَتِ ٱلۡوَاقِعَةُ

Basi siku hiyo ndio litatokea tukio la kutokea



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 16

وَٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَهِيَ يَوۡمَئِذٖ وَاهِيَةٞ

Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 17

وَٱلۡمَلَكُ عَلَىٰٓ أَرۡجَآئِهَاۚ وَيَحۡمِلُ عَرۡشَ رَبِّكَ فَوۡقَهُمۡ يَوۡمَئِذٖ ثَمَٰنِيَةٞ

Na Malaika Watakuwa Wame-simama Kandoni Mwake, Na Siku Hiyo Juu Yao Malaika Wanane Watakibeba Kiti Cha Enzi Cha Mola Wako



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 18

يَوۡمَئِذٖ تُعۡرَضُونَ لَا تَخۡفَىٰ مِنكُمۡ خَافِيَةٞ

Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika kwenu siri yoyote yenu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 19

فَأَمَّا مَنۡ أُوتِيَ كِتَٰبَهُۥ بِيَمِينِهِۦ فَيَقُولُ هَآؤُمُ ٱقۡرَءُواْ كِتَٰبِيَهۡ

Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 20

إِنِّي ظَنَنتُ أَنِّي مُلَٰقٍ حِسَابِيَهۡ

Hakika mimi niliyakinisha kuwa hakiki mimi ni mwenye kukutana na hesabu yangu!



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 21

فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ

Basi Yeye Atakuwa Katika Maisha Ya Raha



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 22

فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٖ

Katika Bustani (Pepo) Iliyo Juu,



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 23

قُطُوفُهَا دَانِيَةٞ

Vishada Vyake (vya matunda) Vitakuwa Karibu:



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 24

كُلُواْ وَٱشۡرَبُواْ هَنِيٓـَٔۢا بِمَآ أَسۡلَفۡتُمۡ فِي ٱلۡأَيَّامِ ٱلۡخَالِيَةِ

(Wataambiwa): Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyoyatanguliza katika siku nyingi zilizopita



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 25

وَأَمَّا مَنۡ أُوتِيَ كِتَٰبَهُۥ بِشِمَالِهِۦ فَيَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي لَمۡ أُوتَ كِتَٰبِيَهۡ

Na ama yule atakayepewa kitabu chake kushotoni mwake; atasema: Ee! Laiti nisingelipewa kitabu changu!



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 26

وَلَمۡ أَدۡرِ مَا حِسَابِيَهۡ

Wala nisingeli jua nini hesabu yangu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 27

يَٰلَيۡتَهَا كَانَتِ ٱلۡقَاضِيَةَ

Ee! Laiti yangelikuwa (mauti) ndio kumalizika kwangu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 28

مَآ أَغۡنَىٰ عَنِّي مَالِيَهۡۜ

Haikunifaa mali yangu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 29

هَلَكَ عَنِّي سُلۡطَٰنِيَهۡ

Madaraka yangu yamenitoweka



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 30

خُذُوهُ فَغُلُّوهُ

(Ataambiwa): Mchukueni, na mfungeni pingu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 31

ثُمَّ ٱلۡجَحِيمَ صَلُّوهُ

Kisha kwenye moto uwakao vikali mtupeni humo!



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 32

ثُمَّ فِي سِلۡسِلَةٖ ذَرۡعُهَا سَبۡعُونَ ذِرَاعٗا فَٱسۡلُكُوهُ

Mkamateni Na Mtieni Minyororo Shingoni Mwake,



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 33

إِنَّهُۥ كَانَ لَا يُؤۡمِنُ بِٱللَّهِ ٱلۡعَظِيمِ

Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Allah Mtukufu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 34

وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ

Wala Hakuhimiza Juu Ya Kulisha Maskini



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 35

فَلَيۡسَ لَهُ ٱلۡيَوۡمَ هَٰهُنَا حَمِيمٞ

Basi Leo Hapa Hana Rafiki Mpenzi ( wa kumwonea uchungu)



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 36

وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنۡ غِسۡلِينٖ

Na wala hana chakula isipokuwa maji ya usaha ya vidonda vilivyooshwa (vya watu wa motoni)



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 37

لَّا يَأۡكُلُهُۥٓ إِلَّا ٱلۡخَٰطِـُٔونَ

Hawakili chakula hicho isipokuwa wakosefu



Capítulo: ALHAAQQA 

Verso : 38

فَلَآ أُقۡسِمُ بِمَا تُبۡصِرُونَ

Basi Naapa kwa yale mnayoyaona