-
الجزء 27
Yuz' 27
-
Cantidad de versos :
399
Capítulo:
ATTUR
Verso : 31
قُلۡ تَرَبَّصُواْ فَإِنِّي مَعَكُم مِّنَ ٱلۡمُتَرَبِّصِينَ
Sema subirini basi hakika mimi pamoja nanyi ni miongoni mwa wenye kusubiri
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 32
أَمۡ تَأۡمُرُهُمۡ أَحۡلَٰمُهُم بِهَٰذَآۚ أَمۡ هُمۡ قَوۡمٞ طَاغُونَ
Au zinawaamuru wao ndoto zao kwa hili au wao ni watu waovu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 33
أَمۡ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُۥۚ بَل لَّا يُؤۡمِنُونَ
Au wanasema ameizua hiyo qurani bali hawaamini
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 34
فَلۡيَأۡتُواْ بِحَدِيثٖ مِّثۡلِهِۦٓ إِن كَانُواْ صَٰدِقِينَ
Basi walete mazungumzo (Quran) mfano wake kama watakua wakweli
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 35
أَمۡ خُلِقُواْ مِنۡ غَيۡرِ شَيۡءٍ أَمۡ هُمُ ٱلۡخَٰلِقُونَ
Au wameumbwa pasipo na kitu chochote (bila ya muumba) au wao ndio waumbaji?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 36
أَمۡ خَلَقُواْ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ
Au wameumba mbingu na ardhi? Bali hawana yakini
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 37
أَمۡ عِندَهُمۡ خَزَآئِنُ رَبِّكَ أَمۡ هُمُ ٱلۡمُصَۜيۡطِرُونَ
Au wanazo hazina za Mola wako mlezi, au wao ndio wenye madaraka? (wenye kudhibiti)?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 38
أَمۡ لَهُمۡ سُلَّمٞ يَسۡتَمِعُونَ فِيهِۖ فَلۡيَأۡتِ مُسۡتَمِعُهُم بِسُلۡطَٰنٖ مُّبِينٍ
Au wanazo ngazi wanasikilizia kwa makini humo? Basi msikilizaji wao alete dalili bayana
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 39
أَمۡ لَهُ ٱلۡبَنَٰتُ وَلَكُمُ ٱلۡبَنُونَ
Au (Allah) Ana watoto wa kike, nanyi mna watoto wa kiume?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 40
أَمۡ تَسۡـَٔلُهُمۡ أَجۡرٗا فَهُم مِّن مَّغۡرَمٖ مُّثۡقَلُونَ
Au unawaomba ujira kwa hiyo wameelemewa na uzito wa gharama?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 41
أَمۡ عِندَهُمُ ٱلۡغَيۡبُ فَهُمۡ يَكۡتُبُونَ
Au wanayo elimu ya ghayb kisha wao wanaandika?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 42
أَمۡ يُرِيدُونَ كَيۡدٗاۖ فَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ هُمُ ٱلۡمَكِيدُونَ
Au wanakusudia hila (shari)? Basi wale waliokufuru wao ndio watakaopangiwa hila
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 43
أَمۡ لَهُمۡ إِلَٰهٌ غَيۡرُ ٱللَّهِۚ سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يُشۡرِكُونَ
Au wana wao mungu asiye Allah utakasifu ni wake allah na yote wanayomshirikisha nayo
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 44
وَإِن يَرَوۡاْ كِسۡفٗا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ سَاقِطٗا يَقُولُواْ سَحَابٞ مَّرۡكُومٞ
Na hata wangeliona pande la moto kutoka mbinguni linaanguka wangelisema: Mawingu tu yamerundikana
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 45
فَذَرۡهُمۡ حَتَّىٰ يُلَٰقُواْ يَوۡمَهُمُ ٱلَّذِي فِيهِ يُصۡعَقُونَ
Basi waachilie mbali mpaka wakutane na Siku yao ambayo humo wataangamizwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 46
يَوۡمَ لَا يُغۡنِي عَنۡهُمۡ كَيۡدُهُمۡ شَيۡـٔٗا وَلَا هُمۡ يُنصَرُونَ
Siku ambayo njama zao hazitowafaa kitu chochote, na wala wao hawatonusuriwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 47
وَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُواْ عَذَابٗا دُونَ ذَٰلِكَ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَعۡلَمُونَ
Na hakika wale waliodhulumu watapata adhabu nyingine isiyokuwa hiyo, lakini wengi wao hawajui
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 48
وَٱصۡبِرۡ لِحُكۡمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعۡيُنِنَاۖ وَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ حِينَ تَقُومُ
Na subiri hukumu ya mola wako mlezi na hakika wewe uko machoni kwetu (uangalizi wetu) na msabihi Mola wako mlezi pamoja na kusifu wakati unapoamka
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ATTUR
Verso : 49
وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَسَبِّحۡهُ وَإِدۡبَٰرَ ٱلنُّجُومِ
Na katika usiku Msabbih na zinapokuchwa nyota
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 1
وَٱلنَّجۡمِ إِذَا هَوَىٰ
Nina apa kwa nyota zinapozama
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 2
مَا ضَلَّ صَاحِبُكُمۡ وَمَا غَوَىٰ
Hakupotoka swahibu wenu na wala hakupotoka
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 3
وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلۡهَوَىٰٓ
Na hasemi (neno lolote lile) kwa utashi wa nafsi (yake)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 4
إِنۡ هُوَ إِلَّا وَحۡيٞ يُوحَىٰ
Hayakuwa hayo (anayaoyasema) isipokuwa tu ni Wahy unaofunuliwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 5
عَلَّمَهُۥ شَدِيدُ ٱلۡقُوَىٰ
Amemfundisha (Malaika Jibrili) Mwenye nguvu kubwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 6
ذُو مِرَّةٖ فَٱسۡتَوَىٰ
Mwenye nguvu na hekima na akakaa katika umbile lake halisi
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 7
وَهُوَ بِٱلۡأُفُقِ ٱلۡأَعۡلَىٰ
Naye yuko juu kabisa katika upeo wa macho
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 8
ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ
Kisha akakurubia na akashuka
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 9
فَكَانَ قَابَ قَوۡسَيۡنِ أَوۡ أَدۡنَىٰ
Kisha akawa kiasi cha umbali wa mipinde miwili au karibu zaidi
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 10
فَأَوۡحَىٰٓ إِلَىٰ عَبۡدِهِۦ مَآ أَوۡحَىٰ
(Allah) Akamfunulia Wahy mja Wake yale Aliyomfunulia Wahy
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 11
مَا كَذَبَ ٱلۡفُؤَادُ مَا رَأَىٰٓ
Moyo (wake) haukukadhibisha yale aliyoyaona
-
-
Finalizado
Error
-