-
الجزء 30
Yuz' 30
-
Cantidad de versos :
564
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 10
وَهَدَيۡنَٰهُ ٱلنَّجۡدَيۡنِ
Na tukambainishia njia zote mbili?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 11
فَلَا ٱقۡتَحَمَ ٱلۡعَقَبَةَ
Lakini hakujitoma (hakuingia) kwenye njia ya vikwazo vya milimani
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 12
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡعَقَبَةُ
Na nini kitakujulisha ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 13
فَكُّ رَقَبَةٍ
Kumkomboa mtumwa;
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 14
أَوۡ إِطۡعَٰمٞ فِي يَوۡمٖ ذِي مَسۡغَبَةٖ
Au kumlisha siku ya njaa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 15
يَتِيمٗا ذَا مَقۡرَبَةٍ
Yatima aliye katika jamaa wa karibu (ndugu)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 16
أَوۡ مِسۡكِينٗا ذَا مَتۡرَبَةٖ
Au masikini aliye vumbini
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 17
ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡمَرۡحَمَةِ
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 18
أُوْلَـٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 19
وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ بِـَٔايَٰتِنَا هُمۡ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BALAD
Verso : 20
عَلَيۡهِمۡ نَارٞ مُّؤۡصَدَةُۢ
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 1
وَٱلشَّمۡسِ وَضُحَىٰهَا
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 2
وَٱلۡقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 3
وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 4
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰهَا
Na kwa usiku unapo lifunika!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 5
وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 6
وَٱلۡأَرۡضِ وَمَا طَحَىٰهَا
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 7
وَنَفۡسٖ وَمَا سَوَّىٰهَا
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 8
فَأَلۡهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقۡوَىٰهَا
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 9
قَدۡ أَفۡلَحَ مَن زَكَّىٰهَا
Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 10
وَقَدۡ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا
Na hakika amepata hasara aliye iviza (ichafua)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 11
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِطَغۡوَىٰهَآ
Kina Thamudi walikadhibisha kwasababu ya upotofu wao,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 12
إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشۡقَىٰهَا
Alipo simama mwovu wao mkubwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 13
فَقَالَ لَهُمۡ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقۡيَٰهَا
Hapo Mtume wa Allah alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Allah, mwacheni anywe maji fungu lake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 14
فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمۡدَمَ عَلَيۡهِمۡ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمۡ فَسَوَّىٰهَا
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwahivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwasababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-SHAMS
Verso : 15
وَلَا يَخَافُ عُقۡبَٰهَا
Wala Yeye haogopi matokeo yake
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALLAIL
Verso : 1
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ
Naapa kwa usiku unapo funika!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALLAIL
Verso : 2
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ
Na mchana unapo dhihiri!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALLAIL
Verso : 3
وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ
Na kwa Aliye umba dume na jike!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALLAIL
Verso : 4
إِنَّ سَعۡيَكُمۡ لَشَتَّىٰ
Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni tofauti
-
-
Finalizado
Error
-