Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 1

وَٱلذَّـٰرِيَٰتِ ذَرۡوٗا

Ninaapa kwa upepo (mkali) unaopeperusha (kila kitu)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 2

فَٱلۡحَٰمِلَٰتِ وِقۡرٗا

Kisha (ninaapa) wa vile vibebavyo uzito (ikiwa ni pamoja na mawingu yanayobeba maji ya mvua)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 3

فَٱلۡجَٰرِيَٰتِ يُسۡرٗا

Kisha (ninaapa) kwa (majahazi na vyombo vingine vizito vya majini) yenye kutembea (juu ya maji) kwa wepesi



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 4

فَٱلۡمُقَسِّمَٰتِ أَمۡرًا

Kisha (ninaapa) kwa (Malaika) wanaogawa mambo (majukumu waliyopewa na Allah)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 5

إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَصَادِقٞ

(Kwamba) Hakika ilivyo ni kwamba, mnachoahidiwa ni kweli kabisa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 6

وَإِنَّ ٱلدِّينَ لَوَٰقِعٞ

Na Hakika, malipo (Siku ya Kiyama) kwa yakini kabisa yatakuwepo



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 7

وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلۡحُبُكِ

Nina apa kwa mbingu yenye njia



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 8

إِنَّكُمۡ لَفِي قَوۡلٖ مُّخۡتَلِفٖ

(Kwamba) Hakika, nyinyi mmo katika zinazotofautiana.[1]


1- - Mara mseme Muhammad ni muongo, mara mchawi n.k.


Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 9

يُؤۡفَكُ عَنۡهُ مَنۡ أُفِكَ

Huondolewa Humo Yule Anaye-ondolewa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 10

قُتِلَ ٱلۡخَرَّـٰصُونَ

Wamelaaniwa Wakadhibishaji



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 11

ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي غَمۡرَةٖ سَاهُونَ

Wale Ambao Wamezama Katika Ujinga Hali Ya Kujisahau



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 12

يَسۡـَٔلُونَ أَيَّانَ يَوۡمُ ٱلدِّينِ

Wanauliza Ni Lini Hiyo Siku Ya Malipo



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 13

يَوۡمَ هُمۡ عَلَى ٱلنَّارِ يُفۡتَنُونَ

Siku Hiyo Wao Katika Moto Watachomwa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 14

ذُوقُواْ فِتۡنَتَكُمۡ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تَسۡتَعۡجِلُونَ

Onjeni Adhabu Yenu Hii Ambayo Mlikua Kwayo Mnaiharakisha



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 15

إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّـٰتٖ وَعُيُونٍ

Hakika Ya Wachamungu Watakua Ndani Ya Pepo Na Chemchem



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 16

ءَاخِذِينَ مَآ ءَاتَىٰهُمۡ رَبُّهُمۡۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَبۡلَ ذَٰلِكَ مُحۡسِنِينَ

Hali Wakichukua Yale Ambayo Aliyowapa Wao Bwana Wao Hakika Wao Walikua Kabla Ya Haya wakifanya mema



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 17

كَانُواْ قَلِيلٗا مِّنَ ٱلَّيۡلِ مَا يَهۡجَعُونَ

Walikuwa Sehemu Ndogo Ya Usiku Wanalala



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 18

وَبِٱلۡأَسۡحَارِ هُمۡ يَسۡتَغۡفِرُونَ

Na Usiku Wa Manane (Kabla ya Alfajiri) Wanafanya Istighifari



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 19

وَفِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقّٞ لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ

Na Katika Mali Zao Kuna Fungu Kwa Ajili Ya Mwenye Kuomba Na Asiye omba



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 20

وَفِي ٱلۡأَرۡضِ ءَايَٰتٞ لِّلۡمُوقِنِينَ

Na Katika Ardhi Kuna Ishara Nyingi Kwa Walio Na Yakini



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 21

وَفِيٓ أَنفُسِكُمۡۚ أَفَلَا تُبۡصِرُونَ

Na Katika Nafsi Zenu Hivi Hamuoni?



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 22

وَفِي ٱلسَّمَآءِ رِزۡقُكُمۡ وَمَا تُوعَدُونَ

Na Katika Mbingu Rizki Yenu Na Yote Mnayoahidiwa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 23

فَوَرَبِّ ٱلسَّمَآءِ وَٱلۡأَرۡضِ إِنَّهُۥ لَحَقّٞ مِّثۡلَ مَآ أَنَّكُمۡ تَنطِقُونَ

Naapa Kwa Bwana Wa Mbingu Na Ardhi Hakika Hilo Ni Haki Kama Ambavyo Nyinyi Mnavyotamka



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 24

هَلۡ أَتَىٰكَ حَدِيثُ ضَيۡفِ إِبۡرَٰهِيمَ ٱلۡمُكۡرَمِينَ

Je Imewafikia Habari Za Wageni Wa Ibrahimu Walio Wema (wanao heshimiwa?)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 25

إِذۡ دَخَلُواْ عَلَيۡهِ فَقَالُواْ سَلَٰمٗاۖ قَالَ سَلَٰمٞ قَوۡمٞ مُّنكَرُونَ

Pale Walipoingia Kwake Wakasema Salama, Akasema Salama nyinyi ni Watu nisio kujueni



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 26

فَرَاغَ إِلَىٰٓ أَهۡلِهِۦ فَجَآءَ بِعِجۡلٖ سَمِينٖ

Akaenda Kwa Ahli Yake Na Akaja Na Nyama Ya Ndama Aliye nona



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 27

فَقَرَّبَهُۥٓ إِلَيۡهِمۡ قَالَ أَلَا تَأۡكُلُونَ

Akawakaribisha na akasema Mbona Hamli?



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 28

فَأَوۡجَسَ مِنۡهُمۡ خِيفَةٗۖ قَالُواْ لَا تَخَفۡۖ وَبَشَّرُوهُ بِغُلَٰمٍ عَلِيمٖ

Akahisi Kuwaogopa katika Nafsi Yake Kuhusu Wao, Wakasema Usiogope Na Wakampa Bishara Kwa Kijana mwenye elimu



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 29

فَأَقۡبَلَتِ ٱمۡرَأَتُهُۥ فِي صَرَّةٖ فَصَكَّتۡ وَجۡهَهَا وَقَالَتۡ عَجُوزٌ عَقِيمٞ

Ndipo Mkewe akawaelekea na huku akisema Hali Ya kupiga Kelele Na Kujipigapiga Usoni (kwa kustaajabu) Na Akasema Kikongwe Tasa!!



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 30

قَالُواْ كَذَٰلِكِ قَالَ رَبُّكِۖ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡحَكِيمُ ٱلۡعَلِيمُ

Wakasema Hivyo Ndivyo Alivyosema Bwana Wako Hakika Yeye Ni Mwingi Wa Hekima Na Mjuzi