Capítulo: ANNAAZIAAT 

Verso : 41

فَإِنَّ ٱلۡجَنَّةَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ

Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!



Capítulo: ANNAAZIAAT 

Verso : 42

يَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلسَّاعَةِ أَيَّانَ مُرۡسَىٰهَا

Wanakuuliza kuhusu Kiyama lini kufika kwake?



Capítulo: ANNAAZIAAT 

Verso : 43

فِيمَ أَنتَ مِن ذِكۡرَىٰهَآ

Una nini wewe hata ukitaje hicho kiyama?



Capítulo: ANNAAZIAAT 

Verso : 44

إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَىٰهَآ

Kwa Mola wako ndio mwisho wake



Capítulo: ANNAAZIAAT 

Verso : 45

إِنَّمَآ أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخۡشَىٰهَا

Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kukiogopa hicho kiyama



Capítulo: ANNAAZIAAT 

Verso : 46

كَأَنَّهُمۡ يَوۡمَ يَرَوۡنَهَا لَمۡ يَلۡبَثُوٓاْ إِلَّا عَشِيَّةً أَوۡ ضُحَىٰهَا

Siku watakapokiona, watakuwa kana kwamba hawakubaki (duniani) isipokuwa jioni moja au mchana wake



Capítulo: A’BASA

Verso : 33

فَإِذَا جَآءَتِ ٱلصَّآخَّةُ

Basi utakapokuja ukelele mkali, (wenye kuumiza masikio)



Capítulo: A’BASA

Verso : 34

يَوۡمَ يَفِرُّ ٱلۡمَرۡءُ مِنۡ أَخِيهِ

Siku ambayo, Mtu atakapomkimbia ndugu yake



Capítulo: A’BASA

Verso : 35

وَأُمِّهِۦ وَأَبِيهِ

Na mama yake na baba yake



Capítulo: A’BASA

Verso : 36

وَصَٰحِبَتِهِۦ وَبَنِيهِ

Na mkewe na wanae



Capítulo: A’BASA

Verso : 37

لِكُلِّ ٱمۡرِيٕٖ مِّنۡهُمۡ يَوۡمَئِذٖ شَأۡنٞ يُغۡنِيهِ

(Kwasababu) Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha yeye mwenyewe



Capítulo: A’BASA

Verso : 38

وُجُوهٞ يَوۡمَئِذٖ مُّسۡفِرَةٞ

Siku hiyo ziko nyuso zitakazo nawiri



Capítulo: A’BASA

Verso : 39

ضَاحِكَةٞ مُّسۡتَبۡشِرَةٞ

Zikicheka na kufurahika, (na zitachangamka)



Capítulo: A’BASA

Verso : 40

وَوُجُوهٞ يَوۡمَئِذٍ عَلَيۡهَا غَبَرَةٞ

Na ziko nyuso siku hiyo zitakuwa na vumbi juu yake



Capítulo: A’BASA

Verso : 41

تَرۡهَقُهَا قَتَرَةٌ

Zitafunikwa na giza zito



Capítulo: A’BASA

Verso : 42

أُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡكَفَرَةُ ٱلۡفَجَرَةُ

Hao ndio makafiri watenda maovu



Capítulo: AL-INFITWAAR 

Verso : 17

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ

Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?



Capítulo: AL-INFITWAAR 

Verso : 18

ثُمَّ مَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ

Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?



Capítulo: AL-INFITWAAR 

Verso : 19

يَوۡمَ لَا تَمۡلِكُ نَفۡسٞ لِّنَفۡسٖ شَيۡـٔٗاۖ وَٱلۡأَمۡرُ يَوۡمَئِذٖ لِّلَّهِ

(Ni) Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 21

كَلَّآۖ إِذَا دُكَّتِ ٱلۡأَرۡضُ دَكّٗا دَكّٗا

Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 22

وَجَآءَ رَبُّكَ وَٱلۡمَلَكُ صَفّٗا صَفّٗا

Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 23

وَجِاْيٓءَ يَوۡمَئِذِۭ بِجَهَنَّمَۚ يَوۡمَئِذٖ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ وَأَنَّىٰ لَهُ ٱلذِّكۡرَىٰ

Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 24

يَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي قَدَّمۡتُ لِحَيَاتِي

Atasema: Laiti ningeli jitangulizia (mema) katika uhai wangu!



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 25

فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُۥٓ أَحَدٞ

Basi siku hiyo hataadhibu yeyote kama kuadhibu kwake



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 26

وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُۥٓ أَحَدٞ

Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 27

يَـٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ

Ewe nafsi iliyo tua!



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 28

ٱرۡجِعِيٓ إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةٗ مَّرۡضِيَّةٗ

Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 29

فَٱدۡخُلِي فِي عِبَٰدِي

Basi ingia miongoni mwa waja wangu,



Capítulo: AL-FAJRI 

Verso : 30

وَٱدۡخُلِي جَنَّتِي

Na ingia katika Pepo yangu



Capítulo: AZZILZAAL 

Verso : 1

إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا

Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!