Capítulo:
AL-QAMAR
Verso : 55
فِي مَقۡعَدِ صِدۡقٍ عِندَ مَلِيكٖ مُّقۡتَدِرِۭ
Katika kizazi kilichoridhiwa mbele ya Mfalme aliye Muweza
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 46
وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ
Na kwa mwenye kukhofu kusi-mamishwa mbele ya Mola wake atapata bustani mbili
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-WAAQIA’H
Verso : 10
وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلسَّـٰبِقُونَ
Na (watakuwepo) waliotangulia mbele, (basi) watakua mbele.[1]
1- - Hawa ni wale ambao walitangulia mbele katika mambo ya kheri duniani ndio watakuwa mbele katika vyeo vya akhera.
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-WAAQIA’H
Verso : 11
أُوْلَـٰٓئِكَ ٱلۡمُقَرَّبُونَ
Hao ndio watakao kurubishwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-WAAQIA’H
Verso : 12
فِي جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ
katika pepo zenye neema
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-QALAM
Verso : 34
إِنَّ لِلۡمُتَّقِينَ عِندَ رَبِّهِمۡ جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ
Hakika wachamungu watapata Kwa Mola wao Bustani za neema
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 23
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ دَآئِمُونَ
Ambao wenye kudumisha Sala zao
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 24
وَٱلَّذِينَ فِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقّٞ مَّعۡلُومٞ
Na wale ambao katika Mali zao kuna haki maalumu
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 25
لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ
Kwa (Masikini) mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 26
وَٱلَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ
Na ambao wanasadikisha Siku ya Malipo, (siku ya Kiyama)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 27
وَٱلَّذِينَ هُم مِّنۡ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشۡفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 28
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمۡ غَيۡرُ مَأۡمُونٖ
Hakika adhabu ya Mola wao si ya kusalimika nayo
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 29
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِفُرُوجِهِمۡ حَٰفِظُونَ
Na ambao wanahifadhi tupu zao
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 30
إِلَّا عَلَىٰٓ أَزۡوَٰجِهِمۡ أَوۡ مَا مَلَكَتۡ أَيۡمَٰنُهُمۡ فَإِنَّهُمۡ غَيۡرُ مَلُومِينَ
Isipokuwa kwa wake zao, au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao si wenye kulaumiwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 31
فَمَنِ ٱبۡتَغَىٰ وَرَآءَ ذَٰلِكَ فَأُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡعَادُونَ
Basi yeyote yule atakayetaka kinyume ya hayo, basi hao ndio warukao mipaka
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 32
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ
Na ambao amana zao na ahadi zao ni wenye kuzichunga (na kuzitimiza)
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 33
وَٱلَّذِينَ هُم بِشَهَٰدَٰتِهِمۡ قَآئِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika kutoa ushahidi wao,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 34
وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ يُحَافِظُونَ
Na ambao kwenye Sala zao ni wenye kuzilinda
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMA’RIJ
Verso : 35
أُوْلَـٰٓئِكَ فِي جَنَّـٰتٖ مُّكۡرَمُونَ
Hao ndio watakao heshimiwa Peponi
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 41
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي ظِلَٰلٖ وَعُيُونٖ
Hakika wacha Mungu watakuwa katika vivuli na chemchem
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 42
وَفَوَٰكِهَ مِمَّا يَشۡتَهُونَ
Na matunda katika yale wanayoyatamani
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 43
كُلُواْ وَٱشۡرَبُواْ هَنِيٓـَٔۢا بِمَا كُنتُمۡ تَعۡمَلُونَ
(Wataabiwa): Kuleni na kunyweni kwa furaha kwasababu ya yale mliyokuwa mkiyatenda
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 44
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجۡزِي ٱلۡمُحۡسِنِينَ
Hakika sisi ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 40
وَأَمَّا مَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ وَنَهَى ٱلنَّفۡسَ عَنِ ٱلۡهَوَىٰ
Ama yule anayeogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake, na akaikataza nafsi yake na na matamanio
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
ANNAAZIAAT
Verso : 41
فَإِنَّ ٱلۡجَنَّةَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-MUTWAFFIFIIN
Verso : 22
إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٍ
Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-MUTWAFFIFIIN
Verso : 23
عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ
Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-MUTWAFFIFIIN
Verso : 24
تَعۡرِفُ فِي وُجُوهِهِمۡ نَضۡرَةَ ٱلنَّعِيمِ
Utatambua katika nyuso zao mng’aro wa neema,
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-BURUJI
Verso : 11
إِنَّ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّـٰلِحَٰتِ لَهُمۡ جَنَّـٰتٞ تَجۡرِي مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَٰرُۚ ذَٰلِكَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡكَبِيرُ
Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko kufuzu kukubwa
-
-
Finalizado
Error
-
Capítulo:
AL-FAJRI
Verso : 27
يَـٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ
Ewe nafsi iliyo tua!
-
-
Finalizado
Error
-