Wale wanaojiepusha na madhambi makubwa na machafu isipokuwa makosa madogo-madogo. Hakika Bwana wako ni Mwingi wa msamaha. Yeye Anakujueni vyema, tangu Alipokuanzisheni kutoka katika ardhi, na pale mlipokuwa mimba changa matumboni mwa mama zenu. Basi msizitakase nafsi zenu. Yeye Anamjua zaidi aliyekuwa na taqwa
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ARRAHMAAN
Verso : 14
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن صَلۡصَٰلٖ كَٱلۡفَخَّارِ
Amemuumba mwanadamu kutokana na udongo utowao sauti kama vyombo vya udongo vilivyochomwa
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
AL-WAAQIA’H
Verso : 57
نَحۡنُ خَلَقۡنَٰكُمۡ فَلَوۡلَا تُصَدِّقُونَ
Sisi Tumekuumbeni, basi kwa nini hamsadikishi hilo?
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
AL-WAAQIA’H
Verso : 58
أَفَرَءَيۡتُم مَّا تُمۡنُونَ
Je, mnaona mbegu ya uzazi mnayo imwagia kwa nguvu?
Hakika, sisi tumemuumba mwanadamu kutokana na mbegu ya uhai (Manii) iliyochanganyika ili tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tumemfanya ni mwenye kusikia, mwenye kuona
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 20
أَلَمۡ نَخۡلُقكُّم مِّن مَّآءٖ مَّهِينٖ
Kwani hatukukuumbeni kwa maji dhalili (manii)?
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 21
فَجَعَلۡنَٰهُ فِي قَرَارٖ مَّكِينٍ
Kisha Tukayaweka katika mahali pa kutulia, madhubuti?
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 22
إِلَىٰ قَدَرٖ مَّعۡلُومٖ
Mpaka muda maalumu?
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMURSALAAT
Verso : 23
فَقَدَرۡنَا فَنِعۡمَ ٱلۡقَٰدِرُونَ
Tukakadiria na Sisi ni wazuri walioje wa kukadiria
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
A’BASA
Verso : 18
مِنۡ أَيِّ شَيۡءٍ خَلَقَهُۥ
Hivi hakumbuki! Kwa kitu gani amemuumba?
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
A’BASA
Verso : 19
مِن نُّطۡفَةٍ خَلَقَهُۥ فَقَدَّرَهُۥ
Kutokana na tone la manii, Amemuumba, Akamkadiria, [Akamuwezesha]
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ATTAARIQ
Verso : 5
فَلۡيَنظُرِ ٱلۡإِنسَٰنُ مِمَّ خُلِقَ
Hebu na ajitazame mwanaadamu ameumbwa kwa kitu gani?