Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 1

وَيۡلٞ لِّلۡمُطَفِّفِينَ

Ole wao hao wapunjao!



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 2

ٱلَّذِينَ إِذَا ٱكۡتَالُواْ عَلَى ٱلنَّاسِ يَسۡتَوۡفُونَ

Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 3

وَإِذَا كَالُوهُمۡ أَو وَّزَنُوهُمۡ يُخۡسِرُونَ

Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 4

أَلَا يَظُنُّ أُوْلَـٰٓئِكَ أَنَّهُم مَّبۡعُوثُونَ

Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 5

لِيَوۡمٍ عَظِيمٖ

Katika Siku iliyo kuu,



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 6

يَوۡمَ يَقُومُ ٱلنَّاسُ لِرَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ

Siku watu watakaposimama (simamishwa) kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote?



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 7

كَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٖ

Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 8

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا سِجِّينٞ

Unajua nini Sijjin?



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 9

كِتَٰبٞ مَّرۡقُومٞ

Kitabu kilicho andikwa



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 10

وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ

Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 11

ٱلَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ

Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 12

وَمَا يُكَذِّبُ بِهِۦٓ إِلَّا كُلُّ مُعۡتَدٍ أَثِيمٍ

Wala haikadhibishi (siku hiyo) isipokuwa kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 13

إِذَا تُتۡلَىٰ عَلَيۡهِ ءَايَٰتُنَا قَالَ أَسَٰطِيرُ ٱلۡأَوَّلِينَ

Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 14

كَلَّاۖ بَلۡۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ

Hasha! Bali yametia kutu katika nyoyo zao hayo waliyokuwa wakiyachuma



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 15

كَلَّآ إِنَّهُمۡ عَن رَّبِّهِمۡ يَوۡمَئِذٖ لَّمَحۡجُوبُونَ

Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 16

ثُمَّ إِنَّهُمۡ لَصَالُواْ ٱلۡجَحِيمِ

Kisha wataingia Motoni!



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 17

ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ

Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 18

كَلَّآ إِنَّ كِتَٰبَ ٱلۡأَبۡرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ

Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I’liyyin



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 19

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا عِلِّيُّونَ

Na nini kitakacho kujulisha nini I’liyyin?



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 20

كِتَٰبٞ مَّرۡقُومٞ

Ni Kitabu kilicho andikwa



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 21

يَشۡهَدُهُ ٱلۡمُقَرَّبُونَ

Wanakishuhudia walio kurubishwa (na Allah)



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 22

إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٍ

Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 23

عَلَى ٱلۡأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ

Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 24

تَعۡرِفُ فِي وُجُوهِهِمۡ نَضۡرَةَ ٱلنَّعِيمِ

Utatambua katika nyuso zao mng’aro wa neema,



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 25

يُسۡقَوۡنَ مِن رَّحِيقٖ مَّخۡتُومٍ

Watanyweshwa kinywaji safi kilichotiwa muhuri,



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 26

خِتَٰمُهُۥ مِسۡكٞۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلۡيَتَنَافَسِ ٱلۡمُتَنَٰفِسُونَ

Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 27

وَمِزَاجُهُۥ مِن تَسۡنِيمٍ

Na mchanganyiko wake ni Tasniim,



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 28

عَيۡنٗا يَشۡرَبُ بِهَا ٱلۡمُقَرَّبُونَ

Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 29

إِنَّ ٱلَّذِينَ أَجۡرَمُواْ كَانُواْ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ يَضۡحَكُونَ

Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini



Sure: AL-MUTWAFFIFIIN 

Vers : 30

وَإِذَا مَرُّواْ بِهِمۡ يَتَغَامَزُونَ

Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana