Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 1

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ

Olewake kila safihi, msengenyaji!



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 2

ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ

Aliye kusanya mali na kuyahisabu



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 3

يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 4

كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ

la hasha! Atavurumishwa katika moto hutama



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 5

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ

Na nani atakujuvya ni nini moto wa hutama?



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 6

نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 7

ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ

Ambao unapanda nyoyoni



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 8

إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ

Hakika huo utafungiwa nao



Sure: AL-HUMAZAH 

Vers : 9

فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ

Kwenye nguzo zilio nyooshwa