Hakika Mola wako anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za usiku, na nusu yake, na thuluthi yake. Na baadhi ya watu walio pamoja nawe kadhaalika. Na Allah ndiye anaye ukadiria usiku na mchana. Anajua kuwa hamuwezi kuweka hesabu, basi amekusameheni. Basi someni kilicho chepesi katika Qurani. Anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila za Allah, na wengine wanapigana katika Njia ya Allah. Kwa hivyo someni kilicho chepesi humo, na simamisheni Sala, na toeni Zaka, na mkopesheni Allah mkopo ulio mwema. Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Allah, nayo imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana. Na mtakeni msamaha Allah. Hakika Allah ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 1
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلۡمُدَّثِّرُ
Ewe mwenye kujigubika
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 2
قُمۡ فَأَنذِرۡ
Simama uonye
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 3
وَرَبَّكَ فَكَبِّرۡ
Na Mola wako Mlezi mtukuze
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 4
وَثِيَابَكَ فَطَهِّرۡ
Na nguo zako zisafishe
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 5
وَٱلرُّجۡزَ فَٱهۡجُرۡ
Na (mambo) machafu yahame (yaache)
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 6
وَلَا تَمۡنُن تَسۡتَكۡثِرُ
Wala usitoe (usifanye hisani) kwa kutaraji kuzidishiwa (kupata kingi Zaidi)
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 7
وَلِرَبِّكَ فَٱصۡبِرۡ
Na kwa ajili ya Mola wako tu kuwa na subira (kuwa mvumilivu)
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 8
فَإِذَا نُقِرَ فِي ٱلنَّاقُورِ
Basi litakapopulizwa baragumu (Tarumbeta)
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 9
فَذَٰلِكَ يَوۡمَئِذٖ يَوۡمٌ عَسِيرٌ
Basi siku hiyo itakuwa ni siku ngumu sana
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 10
عَلَى ٱلۡكَٰفِرِينَ غَيۡرُ يَسِيرٖ
Kwa makafiri haitakuwa nyepesi
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 11
ذَرۡنِي وَمَنۡ خَلَقۡتُ وَحِيدٗا
Niache Mimi peke yangu na yule niliye muumba
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 12
وَجَعَلۡتُ لَهُۥ مَالٗا مَّمۡدُودٗا
Na nikamjaalia awe na mali nyingi
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 13
وَبَنِينَ شُهُودٗا
Na watoto wanao onekana
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 14
وَمَهَّدتُّ لَهُۥ تَمۡهِيدٗا
Na nikamtengenezea mambo vizuri kabisa
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 15
ثُمَّ يَطۡمَعُ أَنۡ أَزِيدَ
Kisha anatumai Nimuongezee!
إبلاغ عن خطأ
نسخ
تم
خطأ
مشاركة :
السورة:
ALMUDDATH-THIR
الآية : 16
كَلَّآۖ إِنَّهُۥ كَانَ لِأٓيَٰتِنَا عَنِيدٗا
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi (Na umpinzani) Aya zetu!