-
الجزء 29
الجزء 29
-
عدد الآيات :
431
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 17
تَدۡعُواْ مَنۡ أَدۡبَرَ وَتَوَلَّىٰ
Unamwita yule aliyegeuza mgongo (aliyepuuza muongozo wa Allah) na akakengeuka
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 18
وَجَمَعَ فَأَوۡعَىٰٓ
Na akakusanya (mali) kisha akayahifadhi (katika makasha)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 19
۞إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ خُلِقَ هَلُوعًا
Hakika, mwanadamu ameumbwa akiwa mwenye pupa (mwenye kukosa subira)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 20
إِذَا مَسَّهُ ٱلشَّرُّ جَزُوعٗا
Inapomgusa shari anakuwa mwingi wa kupapatika (kulalamika na kuhuzunika)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 21
وَإِذَا مَسَّهُ ٱلۡخَيۡرُ مَنُوعًا
Na inapomgusa kheri (anakuwa) mwingi wa kuzuia (bahili)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 22
إِلَّا ٱلۡمُصَلِّينَ
Isipokuwa wenye kuswali
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 23
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ دَآئِمُونَ
Ambao wenye kudumisha Sala zao
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 24
وَٱلَّذِينَ فِيٓ أَمۡوَٰلِهِمۡ حَقّٞ مَّعۡلُومٞ
Na wale ambao katika Mali zao kuna haki maalumu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 25
لِّلسَّآئِلِ وَٱلۡمَحۡرُومِ
Kwa (Masikini) mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 26
وَٱلَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ
Na ambao wanasadikisha Siku ya Malipo, (siku ya Kiyama)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 27
وَٱلَّذِينَ هُم مِّنۡ عَذَابِ رَبِّهِم مُّشۡفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 28
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمۡ غَيۡرُ مَأۡمُونٖ
Hakika adhabu ya Mola wao si ya kusalimika nayo
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 29
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِفُرُوجِهِمۡ حَٰفِظُونَ
Na ambao wanahifadhi tupu zao
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 30
إِلَّا عَلَىٰٓ أَزۡوَٰجِهِمۡ أَوۡ مَا مَلَكَتۡ أَيۡمَٰنُهُمۡ فَإِنَّهُمۡ غَيۡرُ مَلُومِينَ
Isipokuwa kwa wake zao, au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao si wenye kulaumiwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 31
فَمَنِ ٱبۡتَغَىٰ وَرَآءَ ذَٰلِكَ فَأُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡعَادُونَ
Basi yeyote yule atakayetaka kinyume ya hayo, basi hao ndio warukao mipaka
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 32
وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ
Na ambao amana zao na ahadi zao ni wenye kuzichunga (na kuzitimiza)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 33
وَٱلَّذِينَ هُم بِشَهَٰدَٰتِهِمۡ قَآئِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika kutoa ushahidi wao,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 34
وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَاتِهِمۡ يُحَافِظُونَ
Na ambao kwenye Sala zao ni wenye kuzilinda
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 35
أُوْلَـٰٓئِكَ فِي جَنَّـٰتٖ مُّكۡرَمُونَ
Hao ndio watakao heshimiwa Peponi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 36
فَمَالِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ قِبَلَكَ مُهۡطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru (wanaharakiza mbele yako) na wanakutumbulia macho tu?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 37
عَنِ ٱلۡيَمِينِ وَعَنِ ٱلشِّمَالِ عِزِينَ
(Kukukalia) makundi kwa makundi kuliani na kushotoni.[1]
1- - Kitu gani kinawapelekea hao walio kufuru kukujia mbio mbio kutoka kuliani na kushotoni kwa makundi?.
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 38
أَيَطۡمَعُ كُلُّ ٱمۡرِيٕٖ مِّنۡهُمۡ أَن يُدۡخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٖ
Je, kwani kila mmoja wao ana tamaa ya kuingia kwenye Pepo yenye neema?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 39
كَلَّآۖ إِنَّا خَلَقۡنَٰهُم مِّمَّا يَعۡلَمُونَ
Sivyo hivyo! Hakika Sisi Tumewaumba kutokana na kile wanachokijua.[1]
1- - Basi nawaache hiyo tamaa yao ya kuingia Peponi. Hakika Sisi tumewaumba wao kutokana na maji ya kudharauliwa (dhalili).
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 40
فَلَآ أُقۡسِمُ بِرَبِّ ٱلۡمَشَٰرِقِ وَٱلۡمَغَٰرِبِ إِنَّا لَقَٰدِرُونَ
Basi Naapa kwa Mola wa Mashariki zote na Magharibi zote, hakika Sisi bila shaka ni Wenye kuweza
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 41
عَلَىٰٓ أَن نُّبَدِّلَ خَيۡرٗا مِّنۡهُمۡ وَمَا نَحۡنُ بِمَسۡبُوقِينَ
(Tuna uwezo wa) Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 42
فَذَرۡهُمۡ يَخُوضُواْ وَيَلۡعَبُواْ حَتَّىٰ يُلَٰقُواْ يَوۡمَهُمُ ٱلَّذِي يُوعَدُونَ
Basi waachilie mbali watumbukie katika porojo na upuuzi, na wacheze, mpaka wakutane na Siku yao ambayo wanayo ahidiwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 43
يَوۡمَ يَخۡرُجُونَ مِنَ ٱلۡأَجۡدَاثِ سِرَاعٗا كَأَنَّهُمۡ إِلَىٰ نُصُبٖ يُوفِضُونَ
Siku watapotoka makaburini haraka haraka kana kwamba wanakimbilia kushindana kuifikia kwenye Lengo
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ALMA’RIJ
الآية : 44
خَٰشِعَةً أَبۡصَٰرُهُمۡ تَرۡهَقُهُمۡ ذِلَّةٞۚ ذَٰلِكَ ٱلۡيَوۡمُ ٱلَّذِي كَانُواْ يُوعَدُونَ
Macho yao yatainama chini, udhalili utawafunika. Hiyo ndio ile siku waliyokuwa wakiahidiwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
NUUH
الآية : 1
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا نُوحًا إِلَىٰ قَوۡمِهِۦٓ أَنۡ أَنذِرۡ قَوۡمَكَ مِن قَبۡلِ أَن يَأۡتِيَهُمۡ عَذَابٌ أَلِيمٞ
Hakika, Sisi Tulimtuma Nuhu kwa watu wake (tukamwambia) kwamba: Waonye watu wako kabla haijawafikia adhabu iumizayo sana
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
NUUH
الآية : 2
قَالَ يَٰقَوۡمِ إِنِّي لَكُمۡ نَذِيرٞ مُّبِينٌ
(Nuhu) Akasema: Enyi watu wangu, hakika mimi kwenu ni muonyaji wa dhahiri (wa wazi) kwenu
-
-
تم
خطأ
-