-
الجزء 27
الجزء 27
-
عدد الآيات :
399
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 10
فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنِّي مَغۡلُوبٞ فَٱنتَصِرۡ
Basi akamwita Mola wake mlezi kwamba: Hakika mimi nimeshindwa (nimezidiwa nguvu) basi ni Nusuru
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 11
فَفَتَحۡنَآ أَبۡوَٰبَ ٱلسَّمَآءِ بِمَآءٖ مُّنۡهَمِرٖ
Tukafungua milango ya mbingu kwa maji yanayofoka na kumiminika kwa nguvu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 12
وَفَجَّرۡنَا ٱلۡأَرۡضَ عُيُونٗا فَٱلۡتَقَى ٱلۡمَآءُ عَلَىٰٓ أَمۡرٖ قَدۡ قُدِرَ
Na tukaipasua ardhi yote kwa chemchem, na yakakutana maji kwa pamoja kwa jambo lililokadiriwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 13
وَحَمَلۡنَٰهُ عَلَىٰ ذَاتِ أَلۡوَٰحٖ وَدُسُرٖ
Na Tukambeba kwenye ile (jahazi) yenye mbao na misumari
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 14
تَجۡرِي بِأَعۡيُنِنَا جَزَآءٗ لِّمَن كَانَ كُفِرَ
Kikienda haraka tukikitazama kwa macho yetu ikiwa ni malipo kwa ambaye alikuwa amekufuru
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 15
وَلَقَد تَّرَكۡنَٰهَآ ءَايَةٗ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٖ
Na kwa yakini Tumeiacha iwe ni mazingatio, Je, basi yuko yeyote mwenye kuwaidhika?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 16
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi vipi ilikuwa adhabu Yangu na maonyo Yangu?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 17
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٖ
Na Hakika Tumeirahisisha Qur’an Kwa Ajili Ya Ukumbusho Je Kuna Mwenye kukumbuka?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 18
كَذَّبَتۡ عَادٞ فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Kina ‘Aad walikadhibisha, basi vipi ilikuwa adhabu Yangu na maonyo Yangu?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 19
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ رِيحٗا صَرۡصَرٗا فِي يَوۡمِ نَحۡسٖ مُّسۡتَمِرّٖ
Hakika Sisi Tumewapelekea upepo wa kimbunga wenye sauti kali na baridi kali katika siku korofi yenye kuendelea mfululizo
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 20
تَنزِعُ ٱلنَّاسَ كَأَنَّهُمۡ أَعۡجَازُ نَخۡلٖ مُّنقَعِرٖ
Unawang’oa watu kana kwamba vigogo vya mtende vilong’olewa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 21
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi vipi ilikuwa adhabu Yangu na maonyo Yangu?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 22
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٖ
Na Hakika Tumeirahisisha Qur’an Kwa Ajili Ya Ukumbusho Je Kuna Mwenye kukumbuka?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 23
كَذَّبَتۡ ثَمُودُ بِٱلنُّذُرِ
Kina Thamuwd waliwakadhibisha Waonyaji
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 24
فَقَالُوٓاْ أَبَشَرٗا مِّنَّا وَٰحِدٗا نَّتَّبِعُهُۥٓ إِنَّآ إِذٗا لَّفِي ضَلَٰلٖ وَسُعُرٍ
Wakasema: Ah! Tumfuate binaadamu miongoni mwetu? Hakika hapo sisi tutakuwa katika upotofu na wazimu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 25
أَءُلۡقِيَ ٱلذِّكۡرُ عَلَيۡهِ مِنۢ بَيۡنِنَا بَلۡ هُوَ كَذَّابٌ أَشِرٞ
Ah! Ameteremshiwa ukumbusho (Wahyi) baina yetu? Bali yeye ni muongo mkubwa mwenye kiburi mno
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 26
سَيَعۡلَمُونَ غَدٗا مَّنِ ٱلۡكَذَّابُ ٱلۡأَشِرُ
Watakuja kujua kesho nani muongo mkubwa mwenye kiburi mno
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 27
إِنَّا مُرۡسِلُواْ ٱلنَّاقَةِ فِتۡنَةٗ لَّهُمۡ فَٱرۡتَقِبۡهُمۡ وَٱصۡطَبِرۡ
Hakika Sisi Tutawapelekea ngamia jike awe jaribio kwao, basi (Ee Nabiy Swaalih) watazame na vuta subira
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 28
وَنَبِّئۡهُمۡ أَنَّ ٱلۡمَآءَ قِسۡمَةُۢ بَيۡنَهُمۡۖ كُلُّ شِرۡبٖ مُّحۡتَضَرٞ
Na wajulishe kwamba maji ni mgawanyo baina yao (ngamia na wao), kila sehemu ya maji itahudhuriwa (kwa zamu)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 29
فَنَادَوۡاْ صَاحِبَهُمۡ فَتَعَاطَىٰ فَعَقَرَ
Wakamuita Mtu Wao Akajipa Ushujaa Na Kumchinja
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 30
فَكَيۡفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi Vipi Ilikua Adhabu Yangu Na Maonyo yangu?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 31
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ صَيۡحَةٗ وَٰحِدَةٗ فَكَانُواْ كَهَشِيمِ ٱلۡمُحۡتَظِرِ
Hakika Sisi Tulipeleka Kwao Ukelele Moja tu, wakawa kama mabuwa yaliyokatika-katika ya mtengenezaji zizi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 32
وَلَقَدۡ يَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرٖ
Na Hakika Tumeirahisisha Qur’an Kwa Ajili Ya Ukumbusho Je Kuna Mwenye kukumbuka
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 33
كَذَّبَتۡ قَوۡمُ لُوطِۭ بِٱلنُّذُرِ
Wamekadhibisha Watu wa Luutwi Mitume waonyaji
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 34
إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ حَاصِبًا إِلَّآ ءَالَ لُوطٖۖ نَّجَّيۡنَٰهُم بِسَحَرٖ
Hakika Sisi Tumewapelekea Upepo Uliyo Na Mchanga Ispokua Watu Wa Luutwi Waliyomuamini Tuliwaokoa Wakati Wa Theluthi Ya Mwisho Ya Usiku
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 35
نِّعۡمَةٗ مِّنۡ عِندِنَاۚ كَذَٰلِكَ نَجۡزِي مَن شَكَرَ
Neema kutoka Kwetu, hivyo ndivyo Tunavyomlipa ambaye ameshukuru
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 36
وَلَقَدۡ أَنذَرَهُم بَطۡشَتَنَا فَتَمَارَوۡاْ بِٱلنُّذُرِ
Na Hakika Aliwaonya Kuhusiana Na Adhabu Yetu Wakatia Shaka Na Maonyo Hayo
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 37
وَلَقَدۡ رَٰوَدُوهُ عَن ضَيۡفِهِۦ فَطَمَسۡنَآ أَعۡيُنَهُمۡ فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ
Na kwa yakini walimshawishi awape wageni wake, basi Tukawapofoa macho yao. Basi onjeni adhabu Yangu na maonyo Yangu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 38
وَلَقَدۡ صَبَّحَهُم بُكۡرَةً عَذَابٞ مُّسۡتَقِرّٞ
Hakika Iliwafika Wao Adhabu Yenye Kudumu Asubuhi Mapema
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAMAR
الآية : 39
فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi Onjeni Adhabu Yangu na Maonyo
-
-
تم
خطأ
-